Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,342
Wanavyokuona hueleweki unawatia huzuni sana kama si hasira.
Wazazi wamekusomesha wakiwa na mategemeo ya kupata kitu toka kwako.. Sasa usije ukajifariji kwa zawadi za mikate na machungwa unayowapelekea nyumbani kipindi cha likizo.. Sijui ni nan alikuloga na kukuambia kwamba wazee wanahitaji hayo machungwa na mikate.
DO SOMETHING BIG FELA.. Adios amigo
Wazazi wamekusomesha wakiwa na mategemeo ya kupata kitu toka kwako.. Sasa usije ukajifariji kwa zawadi za mikate na machungwa unayowapelekea nyumbani kipindi cha likizo.. Sijui ni nan alikuloga na kukuambia kwamba wazee wanahitaji hayo machungwa na mikate.
DO SOMETHING BIG FELA.. Adios amigo