Wazazi wa wanafunzi wanaosoma shule za private hali si shwari

Sahani20

JF-Expert Member
Feb 11, 2013
1,519
740
Hali imekua ngumu hasa kwa wale wazazi na walezi wenzangu ambao watoto wetu wanasoma shule za private alafu kipato ni cha kawaida hali inazidi kuwa mbaya na kutupatia wakati mgumu wa maisha. hatma yetu inafikia kipindi ambacho huwezi pata msaada popote pale kila mtu unaemueleza au kuomba akukopeshe pesa kidogo anakwambia hana pesa,
Ada za shule zimepanda na
pesa mkononi imepungua
watanzania tupendane tudumishe ule umoja aliotuachia Hayati mwl julius kambarage nyerere.
 
Kwani lazima kusomesha mtoto private.Labda iwe secondary na hakupass msingi.Tunatakiwa tusome alama za nyakati
 
wamiliki wa private nao wataisoma namba kwa staili hyo, maana theluthi ya uchumi wa wananchi umeenda kwenye shule
 
Hali imekua ngumu hasa kwa wale wazazi na walezi wenzangu ambao watoto wetu wanasoma shule za private alafu kipato ni cha kawaida hali inazidi kuwa mbaya na kutupatia wakati mgumu wa maisha. hatma yetu inafikia kipindi ambacho huwezi pata msaada popote pale kila mtu unaemueleza au kuomba akukopeshe pesa kidogo anakwambia hana pesa,
Ada za shule zimepanda na
pesa mkononi imepungua
watanzania tupendane tudumishe ule umoja aliotuachia Hayati mwl julius kambarage nyerere.

Tuanzishe harambee ya kuchangia ada
 
Wabongo bana, harusi wanachangiana hadi 30m! Ila school fees hata 3m mbinde!
 
Kwani lazima kusomesha mtoto private.Labda iwe secondary na hakupass msingi.Tunatakiwa tusome alama za nyakati

Woga tu si aambiwe anayesababisha na theory sake za shuleni Hakuna alama Za kusoma watawala wajuwe zipo namna bora zaidi
 
Hali imekua ngumu hasa kwa wale wazazi na walezi wenzangu ambao watoto wetu wanasoma shule za private alafu kipato ni cha kawaida hali inazidi kuwa mbaya na kutupatia wakati mgumu wa maisha. hatma yetu inafikia kipindi ambacho huwezi pata msaada popote pale kila mtu unaemueleza au kuomba akukopeshe pesa kidogo anakwambia hana pesa,
Ada za shule zimepanda na
pesa mkononi imepungua
watanzania tupendane tudumishe ule umoja aliotuachia Hayati mwl julius kambarage nyerere.
Kuna taasisi za mikopo zinakopesha
 
Ila hizi English medium nazo ziliingia kama fashion, mtu hana uchumi sustainable au anasomeshewa na hawara anakimbilia huko.wakina Kayumba mkawadharau kama vidudu sasa ndiyo hivyo. Ukipanda ngazi ujue na kuishuka!
 
Back
Top Bottom