Wazazi wa mchumba wangu hawanitaki

Wazazi wa mchumba wangu hawanitaki

mgonjamichael

Member
Joined
Oct 31, 2015
Posts
66
Reaction score
15
Nina mchumbaangu tunapendana sana ila kikwazo ni wazazi wake hawanitaki kisa tofaut ya dini na kabila nifanyeje? naombeni ushaur wadau
 
Nina mchumbaangu tunapendana sana ila kikwazo ni wazazi wake hawanitaki kisa tofaut ya dini na kabila nifanyeje? naombeni ushaur wadau

Mjaze Mimba au Nenda MITI MIREFU Bagamoyo Yataisha Upesi Sana Hayo. Muda Mwingine Unatakiwa KUFUMBA Macho Kufanya MAAMUZI Magumu Na Ya Kimafia Zaidi Na Tutakuja Kujibu Dhambi Zetu Kikaangoni Mbinguni.
 
Mjaze Mimba au Nenda MITI MIREFU Bagamoyo Yataisha Upesi Sana Hayo. Muda Mwingine Unatakiwa KUFUMBA Macho Kufanya MAAMUZI Magumu Na Ya Kimafia Zaidi Na Tutakuja Kujibu Dhambi Zetu Kikaangoni Mbinguni.


Hahahahah,afanye ila asubiri kujibu mbele ya safari😀😀
 
Nina mchumbaangu tunapendana sana ila kikwazo ni wazazi wake hawanitaki kisa tofaut ya dini na kabila nifanyeje? naombeni ushaur wadau
Khaa!! Acha kulialia bana. Magufuli kaapishwa tayari. Kuna millions of girls out there...
 
Back
Top Bottom