Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,568
- 71,448
Hivi ni kwanini sisi tumelelewa kwa kuchapwa,kutishwa ,maneno makali
Ukikosea kitu utakalipiwa,,mzazi hawezi tu mwambia mtoto kwa utaratibu akaelewa?unajua hadi vizazi na vizazi vimerithi
Toka nilivyokua kukalipiwa sipendi kabisa
Yaan unakuta mzazi anamchapa mwanae hadi unasema hivii anafikiria nini,kuchapa nimkufundisha?
Ina maana na wenzetu huwakalipia sana watoto wao?
Aisee wazazi tubadilike tuachane na mambo ya kizamani mweleze tu mtoto atakuelewa vyema,sio kumtukana unamuharibu akili mtoto,
Kuna wamama wengine utakuta wanawatisha watoto wao kwa kusingizia baba yako mkali umevunja chupa utamjua leo yaan akija na ulale mapema,sasa hapo mtoto unakua unamuogopa baba unamuona kama adui hiv,,pia kuna zile familia baba akisikika tu sauti anakuja,watoto kama walikua sebuleni wote watakambilia chumbani hawataki kukutana kabisa na baba,kuna kina mama wengine wakali tu kutwa kucha ni kutukana matusi mtoto anayakariri kweli nae akikua hivyo hivyo anarithi
Jamani tubadilikee tuwalee watoti kwa upendo na nidham
Tusiwanyanyase watoto,tuwapende jamanii
Ukikosea kitu utakalipiwa,,mzazi hawezi tu mwambia mtoto kwa utaratibu akaelewa?unajua hadi vizazi na vizazi vimerithi
Toka nilivyokua kukalipiwa sipendi kabisa
Yaan unakuta mzazi anamchapa mwanae hadi unasema hivii anafikiria nini,kuchapa nimkufundisha?
Ina maana na wenzetu huwakalipia sana watoto wao?
Aisee wazazi tubadilike tuachane na mambo ya kizamani mweleze tu mtoto atakuelewa vyema,sio kumtukana unamuharibu akili mtoto,
Kuna wamama wengine utakuta wanawatisha watoto wao kwa kusingizia baba yako mkali umevunja chupa utamjua leo yaan akija na ulale mapema,sasa hapo mtoto unakua unamuogopa baba unamuona kama adui hiv,,pia kuna zile familia baba akisikika tu sauti anakuja,watoto kama walikua sebuleni wote watakambilia chumbani hawataki kukutana kabisa na baba,kuna kina mama wengine wakali tu kutwa kucha ni kutukana matusi mtoto anayakariri kweli nae akikua hivyo hivyo anarithi
Jamani tubadilikee tuwalee watoti kwa upendo na nidham
Tusiwanyanyase watoto,tuwapende jamanii