wanapotoka au kuelekea shule hakikisheni mnawawezesha na kuwafundisha kupita na kutumia vymbo salama, siku akidondoka ukaitwa muhimbili kuchukua maiti usilie.
Watoto wa kiume katika umri huo ni headache! Unaweza kuta anayo nauli ya kutosha tu lakini....watamjuaje kama na yeye "mjanja"! But, if I try to reflect back, I was doing just the same as these kids! Tuombe mungu tu!
utoto raha kweli hawana habari kwamba kuna baya laweza tokea....unaweza kuta amepiwa hela ya nauli ameshakula barafu na bumunda inabidi hali iwe kama hivyo
utoto raha kweli hawana habari kwamba kuna baya laweza tokea....unaweza kuta amepiwa hela ya nauli ameshakula barafu na bumunda inabidi hali iwe kama hivyo
Kama una watoto hasa wa kiume kama mimi .. saa nyingine ukiangalia michezo yao roho inalipuka...sema nikikumbuka na mimi... i was just doing the same... nunda....
wanapotoka au kuelekea shule hakikisheni mnawawezesha na kuwafundisha kupita na kutumia vymbo salama, siku akidondoka ukaitwa muhimbili kuchukua maiti usilie.