Ulikuwa unatafuta sababu za kumtukana/kumdhalilisha Fatma kwa mambo yake binafsi, kumbe alikuwa na mwanaume mmoja tu kabla ya kumpata mumewe? Muulize dadako amewapa wanaume wangapi na bado haoni dalili za ndoa au kama wewe ni wa kike jiulize umewapa wanagapi na hata hao unaowaita walala hoi umetoka kuwavulia chupi ndio ukaja hapa na huu upuuzi. Shein yuko hapo kimabavu, uchaguzi ulikuwa na kasoro gani amabazo zilionekana baada ya kuanza kuhesabu kura? Wanyonge wa Zanzibar ndio waliomchagua Seif awe rais wao, sasa wewe umewakilisha mafisadi ya ccm unajishusha ukiomba huruma za nani?