mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,287
- 793
Hili la profesa Assadi kusimamia ethics za professional yake limedhihirisha hawa jamaa ni thabiti sio watu wakupindisha ukweli, na hawana majivuno yasioyo na msingi.
Assadi kanifanya nikumbuke uongozi wa Mwinyi na JK hahika tulienjoy sana. hawakuwa na ushamba, mihemuko, majivuno wala visasi
Hakika 2025 tunahitaji Raisi muislamu
from a Christian Member
Assadi kanifanya nikumbuke uongozi wa Mwinyi na JK hahika tulienjoy sana. hawakuwa na ushamba, mihemuko, majivuno wala visasi
Hakika 2025 tunahitaji Raisi muislamu
from a Christian Member