Wazanzibari kuitolea kauli rasimu leo

Mkataba hauna ubishi lazima upatikane na hauna kuchakachuwa duh ccm mmeingia cha kike duh mmesha ipotenza Zanzibar!!
Bwana mkubwa wa dunia ndiye mzimamizi kenge gani ata tia mguu sssenge au sita au vijisenti hawana kamati hapo hongera kiranja wa dunia mambo yamesha kuwa mepesi
 
Mtetezi halisi wa Zanzibar alikua Jumbe, hili lipenda vin'gola siyo la kuamini kabisa halichelewi kusaliti pale linapoona madaraka yatachukuliwa na mtu mwingne.

zakiume.blogspot.com/2009/08/kukabiliana-na-upungufu-wa-nguvu-za_20.html?m=1
 
Chuchu FM kwa kupitia Masafa ya FM hata Dar inafika ila si kwaubora sanaaaa ila unaweza ukatumia stream yao ukawapata popote pale ulipo katika dunia hii.

http://myradiostream.com/v1/mobile/chuchu

ahsante
 

wizi wa machoni peupee
 
Tutapambana vikali kwa mtu au kikundi chochote kitakachohatarisha usalama ,Amani ' umoja Na mshikamano wa taifa letu.
 
Kwa mkataba hapana, ukawa msibadilikebadilike kama kinyonga mtawachanganya wana wa nchi. Bakini na msimamo wenu kama mwanzo wa kutetea rasimu ya jaji warioba.
 
Hapana shaka mambo yameshaanza kunoga hapo Kibanda Maiti

Tafadhali aliyepo eneo la tukio aanza kutujuza

Bandiko

Mageni rasmi katika Mkutano huo ni Simba wa nyika, tishio la vibaraka wauza nchi yetu, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.
.
Mkutano utaanza saa 8:00 barabara za mchana mpaka saa 12:00 jioni.
 
Sasa wewe umewahi ili buku 9'zisikosekane ? Maana kuanzisha thread ni 9 sio 7
 
wakuu mliopo zenji mtupe updates za uhakika kutoka viunga vya kibanda maiti.... Mtupie mapicha na muwaeleze ushe..nzi wa majizi sisiemu waliofanya katika kutafuta akidi ya zanzibar.. Tayari leo kashirila anakili kuwa yule muheshimwa wa nccr wa zanzibar aliwekwa kimakosa, waelezeni watu uovu woote walioufanya sisiemu kwa kushifrikiana na mnafiki hamadi rashidi..., kumbusheni watu kujiandikisha katika daftari la wapiga kura , na kujitokeza katika kugombea na kupiga na kulinda kura za serikali za mitaaa... Wapeni watu ujasiri.. Kuwa bila kulinda kura hakuna kitu.,,, nape kaanza kujitapa kuwa. Kama ukawa wameshindwa kuwazuai katika bunge la bmk basi mtaani watashinda tu.... Iwe kwa wizi au hilaaa
 
wewe ndiye umenena sio mtu anakurupuka tu eti buku 9 wakati tunataka kupata kila kitu hadi jinsi watu wanavyomiminika Kibanda maiti
 
Nategemea tamko la kubadili upepo wa kisiasa Tanzania.
 
Dah hilo jina Chuchu any way maslahi ya nchi mbele vyeo baadae kama mwanasheria wenu alivyojitoa sadaka
 
Tutapambana vikali kwa mtu au kikundi chochote kitakachohatarisha usalama ,Amani ' umoja Na mshikamano wa taifa letu.

Jifunzeni Ulaya muungano ni wa watu sio watawala, niwao walikubali kuungana si kosa wakataka kutengana hebu tuache unafiki
 
Kwa mkataba hapana, ukawa msibadilikebadilike kama kinyonga mtawachanganya wana wa nchi. Bakini na msimamo wenu kama mwanzo wa kutetea rasimu ya jaji warioba.

Nakubaliana na wewe asilimia mia itaonekana kama viongozi wa UKAWA hawana au hawazungumzi lugha moja. Ikumbukwe kwamba matumaini ya Wananchi yako chini ya UKAWA sasa tukianza kutofautiana kwa hili itaonekana Kama ni watu wasiokuwa na msimamo wowote

Tujitathimini kwa hili

BACK TANGANYIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…