GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
wewe unanufaika vipi na huu muungano?Hawa ni wa kunyongwa. Kwani huu ni usaliti. Hivi walishajiuliza kama wataambiwa wafunge virago waregee kwao watatosha hasa ikizingatiwa kuwa bara wapo wengi kuliko huko wakuitako kwao?Think twice guys before jabbering.
Upo sahihi mkuu, uvunjwe haraka au ipigwe kuraMuungano wa Kihuni huu Nchi ya Tanganyika ipo wapi.?
Hakuna faida yoyote ya kuwa na muungano ni hasara tupuSina uelewa mpana sana kwenye maswala ya muungano, naelewa kidogo sana. Ila huwa kuna mambo yananitatiza kwa kweli.
Maswala ya ajira mpaka niwe na I'd ya mzanzibari
Kumiliki ardhi zanzibar siruhusiwi
Nikitaka kukununua kitu mfano tv, computer kutoka zanzibar nikama naimport kitu kutoka kenya
Halafu hawa ni wabaguzi na wabinafsiSina uelewa mpana sana kwenye maswala ya muungano, naelewa kidogo sana. Ila huwa kuna mambo yananitatiza kwa kweli.
Maswala ya ajira mpaka niwe na I'd ya mzanzibari
Kumiliki ardhi zanzibar siruhusiwi
Nikitaka kukununua kitu mfano tv, computer kutoka zanzibar nikama naimport kitu kutoka kenya
Muungano unawabeba zaidi wazanzibariHakuna faida yoyote ya kuwa na muungano ni hasara tupu
Mbona hatujawahi kuambiwa hizi faida za muungano?Muungano unawabeba zaidi wazanzibari
Kuna mtu wa bara anataka huo muungano fake zaidi ya viongozi?Kuvunjika kwa Muungano ndio mwisho wa tanganyika na hilo mlijue nyie mahalf knowledge ,Mtwara kwake Mbeya kwake kule kigoma ndio kabisa wanaunga na ndugu zao.
Nyie endeleeni kuwazulumu wazenji ila laana yao ikiwashukia maembe mtaita kungu.
Kula like 5Kiukweli mimi mtanganyika muungano siutaki, Zanzibar hawana kitu cha ziada wanachotupatia tanganyika, tuuvunje kila mmoja ajijue
Kuna mpemba mmoja tulikuwa kitaa tukipiga story anasema yeye anaamini chimbuko la ndugu zao ni kutoa oman na Yemen.Halafu hawa ni wabaguzi na wabinafsi