Wazanzibar hawatumbuliwi bara wala visiwani.

Wazanzibar hawatumbuliwi bara wala visiwani.

MWITONGO MAARIFA

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2018
Posts
276
Reaction score
1,428
Wanasiasa kutoka Zanzibar hatuwaoni wakitumbuliwa katika baraza la mawaziri la muungano au serikali ya mapinduzi, je zanzibari ilichagua wabunge sahihi na waadilifu na huku bara tukachagua wahalifu na watu wasio na sifa za uongozi?

Je Rais wa Zanzibar afanikiwi kwa kutobadilisha safu yake au anafanikiwa? Kwa kuwa ni mkongwe kwenye Urais katiba ya Jamuhuri aimpi nafasi kumshauri vyema rais wa Muungano?

Kwanini tusiwateue wazanzibar kuwa viongozi waandamizi na mawaziri kukwepa gharama za kutengua?
 
Sasa hivi watu wamebadili na wanazidi kubadili akina ya uongozi, tutaanza kuwachagua na kuwapandisha wapinzani kama akina mtatiro, kafulila gekul na wengine kuwa mawaziri kamili, na nadhani hii ndio itakua mwisho wa kutengua na kuteua😂😂
 
Kwani kutengua kunatokana na 'uhalifu' wa watenguliwa au mapenzi ya mtenguaji??
 
Back
Top Bottom