ywf
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 801
- 960
bangi haimfanyi mtu kuwa mchafu..labda mtu awe na asili ya uchafuWanaovuta Bangi vipi
bangi haimfanyi mtu kuwa mchafu..labda mtu awe na asili ya uchafuWanaovuta Bangi vipi
Una akili?!? Una kipi cha kuthibitisha kwamba una akili?mi nina akili na wenyewe wanazo pia, na ujinga wanao na mimi ninao pia
Akili ninazo. Ninavyo vingi ila kimoja wapo ni Kichwa chenye Ubongo unaofanya kazi vyema.Una akili?!? Una kipi cha kuthibitisha kwamba una akili?
Mouth spray???? Sijawahi sikia
Hata Warioba naye anachomaga fegi ila anazidi kuchonga tu.Wengine huwa ni wasafi,
Mwl Nyerere alishawahi vuta sigara.
Warioba ni Old School smokerHata Warioba naye anachomaga fegi ila anazidi kuchonga tu.
Hii kitu ni hatari kwa afya yake.
Wachina karibu %70 wanavuta sigara, Sidhani kama kweli wewe ni mwelevu, kuliko wananchi hawa wanaotoka Taifa, lililoendelea.Kati ya vitu ambavyo huwa vinadhihirisha ujinga wa mwanadamu ni kuvuta sigara!
Labda sijakuelewa, ila kama unamaanisha kuvuta sigara, ni umaskini, sio kweli, maana watu wenye fedha zao pia huvuta sigara.Umasikini
Hahaaaa?!Warioba ni Old School smoker
Kama mar...Bob Makani kwa wazee wa zamani
the ,"elite" kuvuta sigara ilikuwa ni sehemu ya sifa
kwamba umeelimika
Sahihi mkuu ....Hahaaaa?!
Kwa hiyo asiyevuta ataoneka hajapiga vitabu?
Acha kufananisha bangi na vitu vya kijingaWanaovuta Bangi vipi
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Sahihi mkuu ....
Najiulizaga tuInashangaza sana!
Wengi wanaopenda kuvuta sigara huwa ni wachafu sana.Mbaya zaidi mkute mtu anayevuta sigara na kunywa pombe hasa 'Konyagi'! Watu hawa hutoa harufu kali sana mwili (kwenye nguo) na kwenye vinywa vyao.
Na mbaya zaidi wengi wao hupenda kufuga ndevu sana.
Kuna uhusiano gani kati ya kuvuta sigara na mtu kuwa mchafu mpaka kero?
Kachupa flani kadogo kanakuwa kama kaperfume lakini kenyewe unajipuliza mdomoni maji yake unasukutua kama dakika unatema!!...mdomo unakua unanukia harufu tamu hivi!!..Mouth spray???? Sijawahi sikia