Wavuta sigara wengi ni wachafu sana

Wavuta sigara wengi ni wachafu sana

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Inashangaza sana!

Wengi wanaopenda kuvuta sigara huwa ni wachafu sana.Mbaya zaidi mkute mtu anayevuta sigara na kunywa pombe hasa 'Konyagi'! Watu hawa hutoa harufu kali sana mwili (kwenye nguo) na kwenye vinywa vyao.

Na mbaya zaidi wengi wao hupenda kufuga ndevu sana.

Kuna uhusiano gani kati ya kuvuta sigara na mtu kuwa mchafu mpaka kero?
 
Inashangaza sana!

Wengi wanaopenda kuvuta sigara huwa ni wachafu sana.Mbaya zaidi mkute mtu anayevuta sigara na kunywa pombe hasa 'Konyagi'! Watu hawa hutoa harufu kali sana mwili (kwenye nguo) na kwenye vinywa vyao.

Na mbaya zaidi wengi wao hupenda kufuga ndevu sana.

Kuna uhusiano gani kati ya kuvuta sigara na mtu kuwa mchafu mpaka kero?
Duh!
 
Napingana na wewe!!.
Nilipokuwa nikinywa nilikua soo rough yani mradi niwahi kikao bar!....
Nilipokua navuta sikua napenda onekana natumia sigara hadi nilinunua mouth Spray nikimaliza najipuliza hutagundua!...
wachafu wanywaji!
 
Napingana na wewe!!.
Nilipokuwa nikinywa nilikua soo rough yani mradi niwahi kikao bar!....
Nilipokua navuta sikua napenda onekana natumia sigara hadi nilinunua mouth Spray nikimaliza najipuliza hutagundua!...
wachafu wanywaji!
Kwenda kule!
 
Hahahaa dongo gizani, ukisikia yalaaa....
 
Napingana na wewe!!.
Nilipokuwa nikinywa nilikua soo rough yani mradi niwahi kikao bar!....
Nilipokua navuta sikua napenda onekana natumia sigara hadi nilinunua mouth Spray nikimaliza najipuliza hutagundua!...
wachafu wanywaji!
Mouth spray???? Sijawahi sikia
 
katika hilo kundi la wachafu Barack Obama hayupo.
 
Uchafu nasema tena uchafu ni asili mtu na mazingira aishiyo sii wote wavutaji sigara ni wachafu la hasha
 
Back
Top Bottom