benitus bonifas
Member
- Nov 15, 2015
- 9
- 7
kwa wauza mitumba popote mlipo naomba elimu nianze na nguo gani zinazo toka haraka na zabei ya chini naomben ushauri
Wanaume sio wanunuzi wazuri wa nguoZa watoto nakinadada
Hsante brother pia naomba ushauri gredi zake zikoje kwamba gred flan ziko hiv hizi vile yaan za akina dada blauzi au gauni na za watoto wa umri ganiWanaume sio wanunuzi wazuri wa nguo
Kwanini umeamua kuchagua nguo za mtumba? Na biashara unafanyia wapi mkuu? Mkoa gani? Na unazaje yani unaweka kwenye frem au unatembeza?Hsante brother pia naomba ushauri gredi zake zikoje kwamba gred flan ziko hiv hizi vile yaan za akina dada blauzi au gauni na za watoto wa umri gani