Waume kazi tunayo

Mi nafikiri ni hisia zako tu zinakudanganya, usikute hata hawazii hayo unayoyafikiri!

Inawezekana! Honey Faith, mtoto wa kike (mke wa mtu) akimfanyia hivi m' me huwa ana maana gani?
  1. Kaniomba nitafute hotel ya mbali, nje ya mji, ana mazungumzo na mimi (nilipokuwa mbishi, akasema atagharamia yeye kila kitu)!
  2. Ananipa ratiba zake na za mme wake (zinazohusu kutokuwepo nyumbani kwa mtu wake)
  3. Kabla sijakata mawasiliano nae, sijawahi kumuona kavaa nguo ndefu, wala kufichwa matiti yake!
  4. M - pesa yangu ilirushiwa elfu 80, siku 1 kabla ya 8 8 (long w.end), kutoka kwake, nikauliza ya nini? Nikajibiwa wee kaa nayo ntakuambia baadae! Jioni akaniuliza kuhusu ule mtoka aliotaka! Nikairudisha ile pesa, alinuna kama 3 days!

ana vituko vingi sana, hivo ni vichache! Nisaidie ana maana gani mpaka hapo?
 
Last edited by a moderator:

Na maadili haya wangekuwa nayo viongozi wetu, tusingepata madhara ya ten percent katika mikataba. Nakuomba usiishie kwenye mapenzi tu, uadilifu wako huu uwe pia katika shughuli zako za ujenzi wa taifa!
 
Last edited by a moderator:
Na maadili haya wangekuwa nayo viongozi wetu, tusingepata madhara ya ten percent katika mikataba. Nakuomba usiishie kwenye mapenzi tu, uadilifu wako huu uwe pia katika shughuli zako za ujenzi wa taifa!

Nimekusoma rpg
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa kubaki njia kuu nadhani kama wanaume wote wangekuwa na ujasiri kama wewe michepuko ingekoma
 
una roho ngumu bro unaweza ukalala na chatu kitanda kimoja wewe mmmmmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…