Wauguzi wanawake hawajatulia!

Wauguzi wanawake hawajatulia!

Kwa hiyo bimkubwa ni sex seller???????akitongozwa hakatai ati....Haya ni matusi mkuu.
 
kama mumekosa maada bora mspost kitu. Yaan ww ungekuwa karibu ningekupa kerb moja matata sana. Unajua hao unaowasema ni wake zetu?? Na mpaka mda huu ninavyoandika hii post yupo kazn night shift?! Unanifanya nisilale sasa.... Acheni upuuz bhana umalaya ni tabia ya mtu. Hata ukimfuatilia mama yako,shangaz yako dada yako au hata mama yako mdogo wote hao wana michepko pemben. Acha kuturusha roho

haswaaa!tena hata kujiegesha hakuna tupo wima toka tumeingia,mtoa mada elewa tuna kazi nzito ya kuhudumia wagonjwa.
 
Back
Top Bottom