Wauguzi wanajengo la biashara kama walimu?

zegamba180

JF-Expert Member
Oct 8, 2014
820
541
Naomba kuuliza kwa mwenye kujua kuhusu wauguzi kama nao wanajengo la biashara kama walimu?

Walimu wameonesha njia wanajengo lao "MWALIMU HOUSE" hili jengo lao wamepangisha kampuni mbalimbali ambazo wanalipa kodi nzuri tu.1sq meter ni $15 na wanaanzia 30sq meter kama sikosei. Wanapokea kuanzia miezi 6.

Wauguzi wapi jengo lao?
 
Hilo jengo lenyewe la waalimu linawasaidiaje? Mwalimu aliyeko Chiungutwa Masasi kule anafaidikaje na jengo lao lililopo Ilala?

Lilijengwa kwa michango yao ila sidhani kama lina tija yoyote kwao aisee, labda viongozi wao.

Nimemaliza
 
Ukinyanyaswa unapata akili;wauguzi hawajanyanyaswa kwa muda mlefu kama walimu, waalimu wamesahaulika kiasi kwamba hadi wamekuwa ni kama hoja kwa ajili ya kuombea kura. Na wanaachwa makusudi. Ukifika mwaka mmoja kabla ya uchaguzi ndo wana siasa wanajifanya kuwageukia. Kwa mfano sa hivi,, subilia mwaka 2018/19. Utasikia tume ya kuchunguza Madai ya walimu inaundwa.. So wanajua ndo mana ni wajasilia
 
Back
Top Bottom