Watz wote wana Virusi -Hepatitis B!

Watz wote wana Virusi -Hepatitis B!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Habari ndiyo hiyo kama wewe umezaliwa na kukulia TanZania utakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na virusi vya Hepatitis B, na hamna kitu utafanya kwani hakuna dawa bali unaweza tu kuhakikisha idadi ya virusi uliyo nayo haiongezeki na pia muhimu klk yote nenda ukapime Ini lako kwani virusi hivi husababisha kansa ya ini ambayo haina tiba!

Hivyo jibu umelipata leo, kesho ukisikia fulani kafa kwa kansa ya Ini ujue ni hepatitis B!

Sasa unachoweza kufanya ni kuhakikisha Mke wako anapewa chanjo ili asimuambikize Mtoto atakayezaliwa!
 
Habari ndiyo hiyo kama wewe umezaliwa na kukulia TanZania utakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na virusi vya Hepatitis B, na hamna kitu utafanya kwani hakuna dawa bali unaweza tu kuhakikisha idadi ya virusi uliyo nayo haiongezeki na pia muhimu klk yote nenda ukapime Ini lako kwani virusi hivi husababisha kansa ya ini ambayo haina tiba!

Hivyo jibu umelipata leo, kesho ukisikia fulani kafa kwa kansa ya Ini ujue ni hepatitis B!

Sasa unachoweza kufanya ni kuhakikisha Mke wako anapewa chanjo ili asimuambikize Mtoto atakayezaliwa!

nimepima damu juzi na sina huu ugonjwa
 
Habari ndiyo hiyo kama wewe umezaliwa na kukulia TanZania utakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na virusi vya Hepatitis B, na hamna kitu utafanya kwani hakuna dawa bali unaweza tu kuhakikisha idadi ya virusi uliyo nayo haiongezeki na pia muhimu klk yote nenda ukapime Ini lako kwani virusi hivi husababisha kansa ya ini ambayo haina tiba!

Hivyo jibu umelipata leo, kesho ukisikia fulani kafa kwa kansa ya Ini ujue ni hepatitis B!

Sasa unachoweza kufanya ni kuhakikisha Mke wako anapewa chanjo ili asimuambikize Mtoto atakayezaliwa!

To generalize is to be an idiot!

Nani kakwambia "wote" wana tatizo?

Miaka mitatu nyuma hili halikuonekana ni tatizo wakati madaktari walipofanya kama moja ya madai yao(Watanzania mkapumbazwa kuwa wale madaktari wanataka fedha). Natambua madaktari zaidi ya wanne waliokufa kwa ugonjwa huu.

Kitu cha kuogopesha ni hiki, ingawa njia za kuupata ugonjwa wa homa ya ini ni nyingi(kama vile/zaidi ya kupata VVU) hospitalini hali ni mbaya, mipira/gloves inayotumiwa kwa mgonjwa mmoja huwa ni muendelezo kwa kumshika mgonjwa mwingine.

Pili ugumu wa kupata matibabu(mlolongo) na gharama ni mkubwa mno. Kiukweli 10 to 15years to come Tanzania inaweza kuwa kuwa katika hali mbaya.
 
Hebu weka chanzo chake kwanza!! Na kusababishwa na nini?? Je umefany research na kujua watzd wote wana virusi hivyo?? Mbona wataka kututisha na wakati wajua uchumi wa nchi yetu ni mbovu hasa mifukoni mwetu sisi marofa ktk ubora wetu??
 
Afya zetu ni muhimu sana make hawa wazungu wanatuuua
 
Nafikiri siyo WATANZANIA wote! Mimi na mwenza wangu tulipima mwaka jana na hatukukutwa na virus hivyo. Tumechanjwa mara tatu ili kukinga maambukizi.
 
Ukweli huo ugonjwa upo...ila napingana na wewe kwamba sio watanzania wote wanao...
Kujikingaa ....
Kupima
Kipata chanjo
Kuepuka njia sa maambukizi kwani zinafanana na njia za maambukizi kama za HIV....
Na mwisho hauna cure ikifikia chronic stage
 
kwa hiyo mkuu kutudanganya kiasi hiki ulikuwa na maana gani..

hebu badili hiyo heading buana unapotosha watu.... halafu taarifa za afya huwa haziandikwi hivyo kama siasa.
 
Back
Top Bottom