Fasouls
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 939
- 316
Habari zenu ndugu,
Mpaka sasa inapita mwezi mmoja na wiki kadhaa ila vibali hakuna ingawa kuna kwa baadhi ya halmashauri wamepata.
Kwa wale ambao bado tufanyaje mana kwangu mimi nilipata uhamisho kwa kubadilishana na niliebadilishana nae nipo nae huku, tena naishi nae kabisa kwa maana ya kwamba mimi nikiondoka yeye nimwachie nyumba.
Sasa muda unaenda vibali hakuna na morali ya kazi imepungua kabisa kitu kinachoathiri utendaji wa kazi, ukiwapigia utumishi wanasema wametuma ukienda halmshauri wanasema hakuna sasa haieleweki kua nini tatizo au vibali vimefichwa? Au kukwama wapi?
Mpaka sasa inapita mwezi mmoja na wiki kadhaa ila vibali hakuna ingawa kuna kwa baadhi ya halmashauri wamepata.
Kwa wale ambao bado tufanyaje mana kwangu mimi nilipata uhamisho kwa kubadilishana na niliebadilishana nae nipo nae huku, tena naishi nae kabisa kwa maana ya kwamba mimi nikiondoka yeye nimwachie nyumba.
Sasa muda unaenda vibali hakuna na morali ya kazi imepungua kabisa kitu kinachoathiri utendaji wa kazi, ukiwapigia utumishi wanasema wametuma ukienda halmshauri wanasema hakuna sasa haieleweki kua nini tatizo au vibali vimefichwa? Au kukwama wapi?