Binti Msichana
Senior Member
- Oct 9, 2016
- 109
- 247
Tusubirie matokeo ya uhakiki wa NIDA kwa watumishi wa umma.
Kuna kila dalili ya kubainika idadi kubwa ya watumishi wenye umri tata. Hawa kwa makusudi walifanya udanganyifu kwa kughushi umri.Madhara ya kughushi umri ni makubwa kama ya kughushi vyeti.
Watumishi hawa wameonesha utovu mkubwa wa nidhamu kwa kumuongopea mwajiri aidha wastaafu haraka au wachelewe kustaafu.
Hivyo natoa rai kwa serikali iwachukulie hatua kali za kinidhamu ikiwemo kutumbuliwa kama wa vyeti feki.
Nina imani serikali ya Magufuli haitowaacha salama.
Ikumbukwe udanganyifu HAUMWACHI MTU SALAMA.
Kuna kila dalili ya kubainika idadi kubwa ya watumishi wenye umri tata. Hawa kwa makusudi walifanya udanganyifu kwa kughushi umri.Madhara ya kughushi umri ni makubwa kama ya kughushi vyeti.
Watumishi hawa wameonesha utovu mkubwa wa nidhamu kwa kumuongopea mwajiri aidha wastaafu haraka au wachelewe kustaafu.
Hivyo natoa rai kwa serikali iwachukulie hatua kali za kinidhamu ikiwemo kutumbuliwa kama wa vyeti feki.
Nina imani serikali ya Magufuli haitowaacha salama.
Ikumbukwe udanganyifu HAUMWACHI MTU SALAMA.