Watumishi wa umma wote waliondolewa kwa kosa la vyeti fake haki itendeke warudishwe kazini

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
Unajua kuna baadhi ya mambo ukiyaangalia kwa jicho la uhalisia yanatia simanz na kuamsha hisia za chuki na hasira sana pale yanapotokea.

Takribani wiki zaid ya tatu sasa inaenda mwezi limeibuka suala la tuhuma za kuwepo kwa vyeti fake kwa kiongozi ambae amepewa madaraka makubwa sana ya ukuu wa mkoa katika nchi yetu...

Tuhuma hizo zimeendelea kupigiwa kelele mitandaoni...magazetini...redion. na katika vyombo mbali mbali vya habari kias cha kuzua hali ya sintofaham na taharuki ya hali ya juu sana.

Kitu ambacho kinashangaza ni kwamba serikali inatangaza kuwa katika ajenda ya kusimamia utumish wa umma na kurekebisha nidham na udanganyifu katika sekta hiyo ya utumish wa umma kias cha kuanzisha operation kabambe ya uhakiki wa vyeti na kuwaondoa wale ambao wamethibitika kugushi vyeti mara moja pind pale wanapothibitika na uhalifu huo.

Kinachoshangaza sasa ni kuhusu suala hili la bwana daudi bashite...kigugumiz kipo wapi?kwann msumeno huu unaonekana unakata upande mmoja tuh kulikon?kama ni hivyo basi wale watanzania wenzetu waliofukuzwa huko makazin kwa hoja hii ni vyema wakarudishwa tuh katika utumish wa umma...

Kwa sababu upo ushahid wa kutosha kuwa hata wao walikuwa ni wachapakaz hodari na waaminifu ukiachilia mbali suala la kugushi vyeti

Ifahamike wazi kwamba hakuna mtu anaepinga juhudi mfu za kupambana na dawa za kulevya alizozianzisha daudi bashite...la hasha...kwetu sisi tunaona upo umuhim wa kuhoji iweje kiongoz mkubwa wa ngaz kama hiyo anatuhumiwa kwa kosa chafu kama hilo na yeye mwenyewe amepiga kimya pamoja na serikali kwa ujumla?

Haki iko wapi?na kwann haki haitendeki?

Daudi bashite akae akitambua kuwa hata kama anajaribu kuipotezea hii mada na kujifanya kama vile ni upepo ambao utapita suala hili bado linahitaji majibu...linahitaji majibu ili tupate uhalisia wa haki za wale ambao wamehukumiwa na kufukuzwa kazi kwa kosa kama hilo...

Kuna shida gan kwa yeye kuja hadharani na kuonesha vyeti vyake kama kweli ana uhakika na elimu yake?

Suala hili siyo la upepo hivyo akae akilijua hilo.
 
Mkuu sasa tunaangalia Imani na umetoka wapi!!!!.....Ukiwa wa kumpendeza yeye utakuwa mwenye amani Kama Mr Shite

Sasa hiyo si haki mkuu

Kama ni hivyo basi wale ndugu zetu waliondolewa kwa makosa kama hayo tuwapigie kelele warudishwe kazini...haiwezekan msumeno ukate upande mmoja tuh...

Ana vyeti fake aondolewe kama wengine
 
Waziri mkuu akiwa wenye hatihati ya kuwajibishwa sizonje atachukua hatua. Tuwaombe wabunge wetu watusaidie haki itendeke.
 
Asee this tym nchi imepata mtu mbabe sana. Kwa kweli huku ni kuwapandikizia chuki watanzania ili hali si haiba yao. Kusoma kugumu sana asikwambie mtu. Kuna watu waliondoshwa huku wakiwa wametumikia taifa hili kwa miaka mingi tu. Leo hii analindwa mtu simply kwa ajili ya ukabila tu. Noma sana.
 
Unajua kuna baadhi ya mambo ukiyaangalia kwa jicho la uhalisia yanatia simanz na kuamsha hisia za chuki na hasira sana pale yanapotokea.

Takribani wiki zaid ya tatu sasa inaenda mwezi limeibuka suala la tuhuma za kuwepo kwa vyeti fake kwa kiongozi ambae amepewa madaraka makubwa sana ya ukuu wa mkoa katika nchi yetu...

Tuhuma hizo zimeendelea kupigiwa kelele mitandaoni...magazetini...redion. na katika vyombo mbali mbali vya habari kias cha kuzua hali ya sintofaham na taharuki ya hali ya juu sana.

Kitu ambacho kinashangaza ni kwamba serikali inatangaza kuwa katika ajenda ya kusimamia utumish wa umma na kurekebisha nidham na udanganyifu katika sekta hiyo ya utumish wa umma kias cha kuanzisha operation kabambe ya uhakiki wa vyeti na kuwaondoa wale ambao wamethibitika kugushi vyeti mara moja pind pale wanapothibitika na uhalifu huo.

Kinachoshangaza sasa ni kuhusu suala hili la bwana daudi bashite...kigugumiz kipo wapi?kwann msumeno huu unaonekana unakata upande mmoja tuh kulikon?kama ni hivyo basi wale watanzania wenzetu waliofukuzwa huko makazin kwa hoja hii ni vyema wakarudishwa tuh katika utumish wa umma...

Kwa sababu upo ushahid wa kutosha kuwa hata wao walikuwa ni wachapakaz hodari na waaminifu ukiachilia mbali suala la kugushi vyeti

Ifahamike wazi kwamba hakuna mtu anaepinga juhudi mfu za kupambana na dawa za kulevya alizozianzisha daudi bashite...la hasha...kwetu sisi tunaona upo umuhim wa kuhoji iweje kiongoz mkubwa wa ngaz kama hiyo anatuhumiwa kwa kosa chafu kama hilo na yeye mwenyewe amepiga kimya pamoja na serikali kwa ujumla?

Haki iko wapi?na kwann haki haitendeki?

Daudi bashite akae akitambua kuwa hata kama anajaribu kuipotezea hii mada na kujifanya kama vile ni upepo ambao utapita suala hili bado linahitaji majibu...linahitaji majibu ili tupate uhalisia wa haki za wale ambao wamehukumiwa na kufukuzwa kazi kwa kosa kama hilo...

Kuna shida gan kwa yeye kuja hadharani na kuonesha vyeti vyake kama kweli ana uhakika na elimu yake?

Suala hili siyo la upepo hivyo akae akilijua hilo.
Bashite ni Msukuma na anatokea nyumbani. Hiyo ndiyi inayoleta kigugumizi cha kushindwa kumtoa
 
Wakati mnaungana mkono, kisheria kuna kitu kinaitwa burden of proof. Yaani nani anatakiwa kuthibitisha. Kwenye hii case hilo liko upande gani maana mi naona mapovu tu hapa.
Mkuu yaelekea upo vizuri kisheria.

Hebu tuweke wazi hapo kwenye hicho kipengele cha "burden of proof " vis a vis whistle blowers.

Je jukumu la kuisimamia mashtaka kwa kesi ya Jamhuri vs DAB litakiwa la Nani?
 
0e9158ee3fa8cbf388a18be0bae111a6.jpg
 
Unajua kuna baadhi ya mambo ukiyaangalia kwa jicho la uhalisia yanatia simanz na kuamsha hisia za chuki na hasira sana pale yanapotokea.

Takribani wiki zaid ya tatu sasa inaenda mwezi limeibuka suala la tuhuma za kuwepo kwa vyeti fake kwa kiongozi ambae amepewa madaraka makubwa sana ya ukuu wa mkoa katika nchi yetu...

Tuhuma hizo zimeendelea kupigiwa kelele mitandaoni...magazetini...redion. na katika vyombo mbali mbali vya habari kias cha kuzua hali ya sintofaham na taharuki ya hali ya juu sana.

Kitu ambacho kinashangaza ni kwamba serikali inatangaza kuwa katika ajenda ya kusimamia utumish wa umma na kurekebisha nidham na udanganyifu katika sekta hiyo ya utumish wa umma kias cha kuanzisha operation kabambe ya uhakiki wa vyeti na kuwaondoa wale ambao wamethibitika kugushi vyeti mara moja pind pale wanapothibitika na uhalifu huo.

Kinachoshangaza sasa ni kuhusu suala hili la bwana daudi bashite...kigugumiz kipo wapi?kwann msumeno huu unaonekana unakata upande mmoja tuh kulikon?kama ni hivyo basi wale watanzania wenzetu waliofukuzwa huko makazin kwa hoja hii ni vyema wakarudishwa tuh katika utumish wa umma...

Kwa sababu upo ushahid wa kutosha kuwa hata wao walikuwa ni wachapakaz hodari na waaminifu ukiachilia mbali suala la kugushi vyeti

Ifahamike wazi kwamba hakuna mtu anaepinga juhudi mfu za kupambana na dawa za kulevya alizozianzisha daudi bashite...la hasha...kwetu sisi tunaona upo umuhim wa kuhoji iweje kiongoz mkubwa wa ngaz kama hiyo anatuhumiwa kwa kosa chafu kama hilo na yeye mwenyewe amepiga kimya pamoja na serikali kwa ujumla?

Haki iko wapi?na kwann haki haitendeki?

Daudi bashite akae akitambua kuwa hata kama anajaribu kuipotezea hii mada na kujifanya kama vile ni upepo ambao utapita suala hili bado linahitaji majibu...linahitaji majibu ili tupate uhalisia wa haki za wale ambao wamehukumiwa na kufukuzwa kazi kwa kosa kama hilo...

Kuna shida gan kwa yeye kuja hadharani na kuonesha vyeti vyake kama kweli ana uhakika na elimu yake?

Suala hili siyo la upepo hivyo akae akilijua hilo.
Hayo maneno yanauma sana!!!! sanaaaaa..... Mke wangu ni mwalimu 20 years Experience ila alisomea jina la mtu, kilichomo kwenye medula obolangata yake ni taaluma ya ualimu tena alikuwa hard working kinyama kuna kipindi alininyima kwichikwichi kwa sababu ya kumark mitihani.
katimuliwa bila kusikilizwa ndani 24 hours, leo hii haramia mmoja anachekelewa ni mwezi sasa. Polisi original, Polisi jamii, ulinzi shilikishi, TAKUKURU, NECTA, Wizara ya elimu, TAMISEMI, Maadili ya viongozi, TBC, Ikulu wote wametiwa ganzi ya nusu kaputi, wazazi wake wameshindwa kumshauri kibaka wao, makanisa/misikiti/masinagogi yanaendelea kumwombea mhalilifu, mbaya zaidi hata yeye mwenyewe hajiongezi hata kidogo. inaniuma sanaa narudia tena inaniumaaaa sanaaaaa!!! na msikitini siendi tena takuwa naswalia nyumbani.
 
Dawa ni kuanika hivyo vyeti sasa hadharani tuh

Na wakati wenyewe ndiyo huu sasa
Hapa ndio unyumbu unadhihirika
Hivi wewe umekamata mwizi unampeleka Mahakamani halafu unamwambia sasa ithibitishie Mahakama kama wewe sio au ndio mwizi. kesi haziendi hivo
Wewe uliyemtuhumu ndio utaleta ushahidi kuthibitisha Tuhuma zako mwisho mtuhumiwa atajitetea, kabla ya hukumu.
Nenda Mahakamani, huko ataamuliwa alete vyeti vikaguliwe. Au wewe peleka ushahidi ulionao huko
 
Back
Top Bottom