Watumishi wa umma tumemkosea nini Rais Magufuli?


Non Sense, vapour,
 
Anawaandalia maisha mema hapo baadae ikiwa ni pamoja na kuwatunzia pesa zenu kisiri mkijua amewapa wala msijali hamtapoteza kama ni aslimia 8 makubaliano basi zile 7 anawatunzia na atawafungulia kila mmoja acount yake ki siri bila nyie kujua mwishoni anakuja anawapa kwa ajiri ya maisha yenu ya uzeeni kwani amegundua huwa mnateseka sana.
 
kama huna cha kusema ungetulia zako kuliko masiara haya
 
Halafu wewe huna akili kabisa ndii maana hutumii akili katika kuchanganua mada. Suala ni mkataba uheshimiwe kati ya pande mbili. Mtumishi aliyekopeshwa na Serikali. Wewe pia unafikiria kwa njia inayoonyesha wivu na husda. Inaelekea bado utoto unakusumbua kwani usingeweza kuwaza tu watumishi waliopo kazini kwa sasa hata watoto wako au ndugu zako wanaweza kufanyiwa hivyo.
Umekurupuka tu na kujibu sijui kwa kutumia ubongo gani halafu unajiita Dr Akili. Shame upon you!!
 
Maasira gani as hapo kusema kweli imekuwa hasira,huwezi amini huyu mtu anawapenda sana ameona huwa mnateseka sana uzeeni.
anakupendaje mkuu kwanza hawap stahilki zao pili hakuna promotion huu mwaka wa pili kwa hiyo ndo upendo huo? huku anatujazia makodi wew bana kama unanufaika myamaza kimya usiongee jamaa mchi imemshinda
 
hilo la mkataba ndo tatizo na ndo uonevu wenyew maccm siku zote hawatumii akili kwa mawazo unategea tutaendelea? tena usikute ni mtu mkubwa serikalin na anampa mkuu ushairi huo. ni shida sana
 
anakupendaje mkuu kwanza hawap stahilki zao pili hakuna promotion huu mwaka wa pili kwa hiyo ndo upendo huo? huku anatujazia makodi wew bana kama unanufaika myamaza kimya usiongee jamaa mchi imemshinda
Wakat mnamchagua mlikuwa hamjui hayo ni lini mfanyakazi amekuwa na maisha bora kwa utawala huu wa ccm? Nyinyi mmekuwa tatizo kubwa sana Neil mnaotumika kuona kura na kuwapa hawa ambao mnawaraum leo mmekuwa wakifa kura wazuri sana kwa chama hiki kifupi mmevuna mlichopanda tena kwakuwa mnakipenda sana chama hiki ni bora mngetumikia bure kwa miaka hata 6 ndo mkaanza kulipwa mishahara na kukatwa aslimia 20 ili mapenzi yenu yatimizwe kwa chama mnalalamika nn tena nyinyi ni tatizo kubwa sana wasaliti wakubwa nyie.
 
Ulipokuwa unasoma ulikuwa unataka huo mkopo. Asilimia 15% ndio mapovu yote haya. Dawa ya deni ni kulipa na kulimaliza, hii mikopo wengi walikuwa wanapiga danadana. Wacheni longolongo, nchi haiendeshwi kwa mabua.
Mkuu mbona unaonekana kama unaishi nchi nyingine au hukupewaga mkopo? Huwezi Saini mkopo wa riba ya 8℅ alafu in BTN unaambiwa ulipe 15% this is too much. Kumbuka sio kila MTU alikuwa halipi mkopo na hatakama ingekuwa hivyo je ni uzembe wa Nani katika kufatilia wanufaika wa mkopo? Mbona mabenki yanaweza kufuatilia! Watu walijaza taarifa zao kwenye form za kuomba mkopo kwanini wasiwatafute wasio rejesha? Kwanini bodi haiwasiliani na mteja wake mpaka kuwe na defaults? Think twice before comment a general comment
 
Ulipokuwa unasoma ulikuwa unataka huo mkopo. Asilimia 15% ndio mapovu yote haya. Dawa ya deni ni kulipa na kulimaliza, hii mikopo wengi walikuwa wanapiga danadana. Wacheni longolongo, nchi haiendeshwi kwa mabua.
Lazima uone mantiki katika mada husika!
Uzito wa madeni katika mshahara hupimwa kwa asilimia za makato.
mfano. Kama nakopa 1,000,000/- na makato yake ni asilimia 8 ya mshahara wangu wa laki 1 (100,000/-) ina maana nitakuwa napungukiwa 8,000 kila mwezi hivyo bajeti yangu naipanga ktk sh. 92,000/- ukija ghafla kukata asilimia 15% maana yake utakata 15,000/- na mimi sasa nita operate katika Sh. 85,000/- umenipunguzia elfu 7 Zaidi katika mipango yangu.
Issue yako ya dawa ya deni kulipwa haina mantiki hapo, kwa kuwa tofauti ya rate hizo mbili ni muda tu utakaotumika kulipa deni, lkn hakuna dalili zozote za kukataa kulipa deni.
Issue ya msingi Zaidi ni kukunyima sifa au kukuongezea mzingo ktk ceiling ya mikopo
mtumishi haruhusiwi kuwa na makato ya Zaidi ya 30% ya mshahara wake, kwa maana hiyo nusu ya uwezo wako wa kukopa inazuiwa na bodi ambapo ni kinyume na makubaliano ya awali, lkn mbaya Zaidi ni kwa yule ambaye jumla ya mikopo ilishamfikisha katika 30% je ongezeko hili la 7% si litamfanya muajiri avunje sheria kwa kumfanya mtumishi akatwe beyond 30% mark?
 
Mkuu jina lako ni the opposite of you.......Yani unaropoka tu unayoyawaza kichwani mwako...eti wanapokea zaidi ya laki 5 baada ya makato!

Then maisha ya sasa usiyafananishe na enzi za nyerere wewe em kuwa na akili
 
Unauzoefu na hili unalosema mkuu? Mtu mwingine anadaiwa zaid ya million 12 unasema anauwezo wa kulipa miaka miwil -mitatu kwa mchanganuo upi?kumbuka kuna watumish wengine (walonufaika na mkopo) take home n laki nne na nusu baada ya ongezeka la 15%
 
Umesoma mpaka darasa la ngapi na unafanya kazi wapi? Uelewa wako ktk jambo hili ni mdogo kama punje ya ulezi
 
Watumishi wa umma ndo walio haribu nchi hii kwahiyo rais lazima awanyooshe. Kila kiongozi anapoingia madarakani anakuwa na mentality yake ya nani adeal naye kufanikiwa.
Nyerere aliamua kudeal na wananchi wa kawaida akawahimiza walime, akahimiza wasome ili nchi iendelee.
Mwinyi akadeal na wafanyabiashara wafanye biashara kiuhuru ili watu wapate mahitaji yao kiurahisi, Mkapa yeye aldeal sana na wafahisani wa nje ali-communicate nao kila wakati ili kusaidia nchi walimpa ushauri na programs nyingi za donors zilionekana kipindi chake. Kikwete alideal sana na wanasiasa awamu yake hakuna kipindi ambacho wanasiasa walifaidi na kuumia zaidi ya awamu ya Kikwete. kipindi hicho siasa watu wengine imewanufaisha sana ila wengine siasa imewanyoosha.
Kipindi cha Magu ni kipindi cha kudeal na watumishi yeye ndo kaona mafanikio yatatokea hapo ktk utawala wake. Akiwanyoosha watumishi wa umma nchi itanyooka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…