Ya nini kujitesa waache kazi waje kitaa tukomae washenzi sana hawa wanaojiita watumishi wa umma kila siku ni kulia tu kana kwamba wamelazimishwa acheni kazi njooni mlime
Tutamuweza zaidi ya alivyotuweza! Hii Dunia, na kwa Ukamilifu wake lazima kuwe na Viumbe ambao ndiyo sisi, ipo Siku ataelewa Nguvu ya Watumishi wa Umma!
2020 hamtoamini macho yenu, kuanzia Nape na wengine wote watakuwa wakimtafutia JPM kura na hao wanaolalama muda huu watawahi mapema kabisa kumpigia kura!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.