Watumishi wa umma mliokuwa na madai tupeni mrejesho mmelipwa madai yenu maana mshahara wa Feb, 2018 tayari umetoka

Mimi bnafs nimelipwa, mpunga wangu, am so happy.
kwa hiyo kama hajalipwa. wewe inakuhusu nini.au unataka kulipa wewe ?
we ukiambiwa inakuhusu nini. kwani wewe ndio mlipaji wa mshahara..haikuhusu na.wala huwezi kuchangia fedha ya mapungufu..acha watumishi hao wamalizane wenyewe na.mwajiri.wao.
asante Magufuli nimelipwa
MAKADA WAMEVAMIA UZI, UKIWAULIZA KILICHOKUWA KINADAIWA N NINI WATAKULA KONA MAPEMA
 
Jina lako lilitoka baada ya uhakiki.. Wengi wetu majina hayakutoka, na tunadai..

Binafsi nadai mapunjo au arrears.. Orodha iliyotoka ilikuwa ina wakuu was idara na wenye vyeo fulani...

Ni kama vile kasungura kalikuwa kadogo.
Hapana mkuu usife moyo, kama kuna mahali mlikosea kujaza madai yenu mtspewa ufafanuzi, hataa mie pia ilikuwa mapunjo ya mshahara bat thanks God jina langu lilikuwemo japo kunawenzangu tuliajiliwa nao cku moja tukaandika barua za madai cku moja lakn wao hawaja pata so n swala la mudatu mtapata nanyi, uzuri serikali huwa haidhurumu bali huwa inachelewesha tuu.
 
MSHAHARA HAUJATOKA.

SASA HIVI SAA 1837,

WATUMISHI HAPA KWETU WANALIALIA

HATA HICHO KIDOGO HAKIJAINGIA!
 
Binafsi nitoe ushuhuda kwa mtu wangu wa karibu sana. Amelipwa mafao yake. Kiukweli alifatilia toka 2014 hadi alikata tamaa. Message ya malipo kutoka Benki ilipoingia kwenye simu yake alipata pressure kidogo afe. Anyway pale panapostahili sifa tunasifia...kwa hili JPM amefanya jambo kubwa sana. Wapo watu walishakata tamaa kabisa ....na mfano ni huyu mzee wangu ambaye amekaribia kustaafu pia.
 
Binafsi nitoe ushuhuda kwa mtu wangu wa karibu sana. Amelipwa mafao yake. Kiukweli alifatilia toka 2014 hadi alikata tamaa. Message ya malipo kutoka Benki ilipoingia kwenye simu yake alipata pressure kidogo afe. Anyway pale panapostahili sifa tunasifia...kwa hili JPM amefanya jambo kubwa sana. Wapo watu walishakata tamaa kabisa ....na mfano ni huyu mzee wangu ambaye amekaribia kustaafu pia.
Mafao?!
 
Namwachia MUNGU wangu. Ipo siku nitapata haki yangu. Ninasikitika sana kuikosa haki mapema.
 
Trade union federation imekua na toothless japo kila mwezi wanachama wanalipia fee.
Hakuna rangi wataacha kuiona these 10 years
 
Namwachia MUNGU wangu. Ipo siku nitapata haki yangu. Ninasikitika sana kuikosa haki mapema.
Kwenye mkutano wa CWT Dodoma Mh. Rais ali ahidi kuwa tutalipwa madai yetu. Baadae tena akarudia na kutaja figure billion 200. Hadi leo ni patupu. Hivi ni kweli Mh. Ni mtu wa MUNGU kama nilivyokuwa namtangaza?. Niliingia kwenye maombi na nika mchagua mimi mwenyewe. Naamini MUNGU atanifariji na kunipa nguvu ya uvumilivu na labdae nitapata haki.
 
Lkn ni kweli umetoka au
!!!???


MSHAHARA BADO.

HAO WANAOSEMA UMETOKA,

NI WAPAMBE NUKSI.

CHUNGUZA MAANDISHI YAO,

WANASEMA "MAFAO" WANAJUA MAANA YAKE?

WAPO VIJIWENI WANASUGUA BENCHI LA UFUNDI.

WATUMISHI WALIPO SASA HIVI SAA 2:19 USIKU

WAMEJIINAMIA WANAWAZA KESHO WANAHEMEAJE?

"MSHAHARA BADO! SASA HAYO MADAI YAMELIPWAJE?"
 
Back
Top Bottom