Watumishi wa UDART wagoma wakidai malipo na mkataba

Hivi kwanini nchi hii inapenda migogoro isiyokuwa na sababu.!? watu hata mwaka bado tayari washaanza malalamiko.!

Tuko nyuma jamani tujitambue
 
Humu ndani kuna nyuzi nyingi zimeanzishwa kulalamikia hao UDART lakini matatizo yapo palepale...yawezekana kuna upigaji mkubwa sana nashauri iundwe kamati maalumu ichunguze hao jamaa haraka sana.
 
Siku hizi magari ya Dart yaliopakiwa pale jangwani ni mengi zaidi yaliopo barabarani. Sijui hawa UDART wanataka nini kama hii kazi imewashinda
 
Walipwe halafu wafukuzwe na waajiriwe wengine haiwezekani wagome wakati mradi bado mchanga na wao bado hawajaaminiwa kwenye kazi
 
Walipwe halafu wafukuzwe na waajiriwe wengine haiwezekani wagome wakati mradi bado mchanga na wao bado hawajaaminiwa kwenye kazi

Sasa watu hawajalipwa miezi 2 unategemea wafanye kazi bure? Lazima wagome, watu wana familia zina mahitaji pia.
Sio kila kitu watu wakidai serikali mnapigapiga kelele. Nenda kachukue hiyo kazi wewe ufanye bure sio umekaa unamaliza umeme.
 
Daa... Huyu zugimlole ni jipuu.. A haya ndo madhara ya kuendesha mradi kwa kujuana
 
Hivi kwanini nchi hii inapenda migogoro isiyokuwa na sababu.!? watu hata mwaka bado tayari washaanza malalamiko.!

Tuko nyuma jamani tujitambue
wewe vipi mshamba nini watu wanalalamika kwasababu hawajalipwa mshahara na hawana contract. hivi wewe unakazi kweli au ulishawahi kuajiriwa?toa malalamiko kwa serikali ya CCM kufanya mambo kiuni.


swissme
 
Hivi kwanini nchi hii inapenda migogoro isiyokuwa na sababu.!? watu hata mwaka bado tayari washaanza malalamiko.!

Tuko nyuma jamani tujitambue


Halafu nijuavyo mimi Mkataba wa kazi unapaswa kupewa baada ya miezi 6 kazini any way sisi Waafrika ni wagumu sana kuendelea hakuna anayetaka kuumia kwa ajili ya kesho kila mtu anataka ajenge nyumba mwezi wa kwanza kazini, anataka anunue gari ndiyo hivyo safari ni ndefu sana, hata hivyo sijui mazingira yao lkn kwangu kugoma kwenye Kampuni mpya ambayo hata mwaka haijafikisha ni mambo ya ajabu sana ...
 
Udart ni jipu muda si. Mrefu wataanza kupigwa makofi aiwezekani unakaa kituoni saa zima hakuna Gari na kibaya zaidi hela yako wameshachukua
 
wewe vipi mshamba nini watu wanalalamika kwasababu hawajalipwa mshahara na hawana contract. hivi wewe unakazi kweli au ulishawahi kuajiriwa?toa malalamiko kwa serikali ya CCM kufanya mambo kiuni.


swissme
Wewe ushaambiwa kuwa uchangiaji wako ni wa kiwango cha chini mno kwahivyo sikushangai.. na kama ungesoma vizuri ungejua kuwa nipo upande wa wafanyakazi kuwa kwanini mara ya pili wanalalamika na hawasikilizwi!?
 
Wewe ushaambiwa kuwa uchangiaji wako ni wa kiwango cha chini mno kwahivyo sikushangai.. na kama ungesoma vizuri ungejua kuwa nipo upande wa wafanyakazi kuwa kwanini mara ya pili wanalalamika na hawasikilizwi!?
khaa huna Elimu ya juu

swissme
 
Kama watu wanamadai ya msingi ni haki yao kugoma ilimradi wafuate taratibu za sheria ya ajira na mahusiano kazini no 6,2004. Japo kufuata sheria ndo kuchelewa kupata haki yako Mara nyingine
 
Huu mrad wa kifisad wa awam iliyopita inaniuma sana yani billion 600 ilitumika yani hiki chama. Kulikuwa na haja gan ya huu mrad nyinyi wez mafedhuli. Bora hata hizo hela zingetumika kuwajengea watanzania makaz bora na nafuu.

TOO SAAADDD
 
bila mikiki,migomo,maandamano,kufungiana ofisi and the like,hakuna haki wala wa kukujali ndani ya bara hilii!!!
 
Huu mrad wa kifisad wa awam iliyopita inaniuma sana yani billion 600 ilitumika yani hiki chama. Kulikuwa na haja gan ya huu mrad nyinyi wez mafedhuli. Bora hata hizo hela zingetumika kuwajengea watanzania makaz bora na nafuu.

TOO SAAADDD
Harafu midaladala mibovu bado ipo sambamba na ma bus ya Dart. Lile suala la kupunguza foleni halipo tena kwa wengine. Daladala hazina vituo zikisimama inakuwa shida sana.
Dart waongeze ma bus na hizo ngalangala ziende bush
 
Back
Top Bottom