luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
Huyu popona hawez kukuelewa mkuuWatumishi wa Umma ndio wanaunda dots na pia wanafacilitate welfare ya haya makundi mengine yasiyo ya "Umma"
Huyu popona hawez kukuelewa mkuuWatumishi wa Umma ndio wanaunda dots na pia wanafacilitate welfare ya haya makundi mengine yasiyo ya "Umma"
Hiyo serikali inayo mlipa ndio iliyomwambia afundishe hayo wewe shida yako nini.Kujua nani ni mtumishi wa umma,na kazi za utumishi wa umma ni elimu ya chini sana ya uraia inatolewa mashuleni,kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari.Mimi naamini mwanafunzi wa kidato cha pili aliyetulia shuleni na kuelewa civics ya kidato cha pili anakuzidi uelewa mbali na anaweza kukufundisha elimu ya uraia vizuri.Inawezekana una digrii wewe lakini bure.Huduma gani isiyo leta tija hivi wewe mwalimu unayefundisha Area of Triangle au yule anayefundisha The quantity theory of money tangu mwaka 1995 mpaka leo ana saidia nini Taifa
Wewe endelea kuishi kwa shemeji hujui maishaBaba stress za maisha
Ila kweli Tz bado sana, kama bado kuna watu mbumbumbu mpaka leoHaswaa Kuna mijitu Ina akili mfu ndio inashusha hadhi ya jf
chukua pakiti tano za sumu ya panya kwa huyo anayepita nazo hapo kando yako unywe nakuja kulipa! Ndiyo maana unaona wivu shemejio anapoaga kwenda kazini na kukuacha umelala!Baba stress za maisha
Huduma gani isiyo leta tija hivi wewe mwalimu unayefundisha Area of Triangle au yule anayefundisha The quantity theory of money tangu mwaka 1995 mpaka leo ana saidia nini Taifa
Hivi wafanyakazi mfano wa wizara ya kilimo hao wanaoitwa maafisa kilimo Dar Es Salaam Kinondoni kazi yao ni nini ? Wanaenda ofisi na kurudi halafu walipwe au
Afisa nyuki wa Ilala DsM anafanya nini kuna nyuki huko posta anaelekeza ?
Huna la kujitetea tofautisha wanaofanya Intangible services kama madaktari tunawapima kwa quality, Wengine mnapimwa kwa quantity
Njoo ujadili tena ongezeko
Sasa unategemea wakenya tutawapita kwa akili kama hii?? Piga picha hii mtu ndio imepewa mamlaka ya kufanymaamuzi ya kitengo fulani nyeti cha nchi. Watz tuombe snHuduma gani isiyo leta tija hivi wewe mwalimu unayefundisha Area of Triangle au yule anayefundisha The quantity theory of money tangu mwaka 1995 mpaka leo ana saidia nini Taifa
Jinga kabisa hili, linadhani govt ina function kupitia nani?..wafanyakazi wanatoa huduma.Ndio tatizo la kukimbia umande.Umendika nini???
Biashara zik8goma kwani serikali inasimama kufanya kazi, hata kukopa itakopa 2Povu unatoa là nini kwani nilikulazimisha kuwa mtumwa wa serikali
Muajiriwa yeyote wa serikali na mtumwa mnategemea kodi za walalahoi wakilipa na wasipolipa, Subirini 2018 biashara zikigoma ndio mtajua maisha ni nini ? Tunafunga biashara utalipwa na Babu yako