Watumishi wa serikali bwana!!

Watumishi wa serikali bwana!!

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,947
Reaction score
9,460
Jaman watumishi wa serikali!Jaman watumishi wa serikali nyie!
Watumishi wa serikali walienda kwa babu Loliondo, baada ya kupata kikombe babu akawaambia,
"haya 500 yangu"
si wakatoa kadi za bima ya afya!..Babu akabaki amepigwa butwaa akasema hii nchi mpaka kondom mtatoa kadi za bima ya afya!!
 
Walijua babu msanii hakuna aliyepona
 
Jaman watumishi wa serikali!Jaman watumishi wa serikali nyie!
Watumishi wa serikali walienda kwa babu Loliondo, baada ya kupata kikombe babu akawaambia,
"haya 500 yangu"
si wakatoa kadi za bima ya afya!..Babu akabaki amepigwa butwaa akasema hii nchi mpaka kondom mtatoa kadi za bima ya afya!!

Hivi bado anaendelea na kikombe chake?
 
ndio maana kumbe wengi hawajapona, walimtapeli babu..loohh!
 
419.bittenus.com wanapenda vya bure sana!
 
Back
Top Bottom