mAgaziJuTO.
Senior Member
- Feb 22, 2014
- 119
- 37
Kama Bank wanakopesha kwa 18% halafu wewe ukaenda kukopa kampuni kwa riba ya 40% lazima tuhoji uwezo wako wa kufikiri.
Mkuu
Hapo Pia Utashangaa Hao Ndiyo Wanatakiwa Kuwafundisha Watoto Ama Taifa Liyaepuke Hayo
Lakini Wenyewe Wanayatenda Kwa Haraka
Hata Sasa Kama Kusoma Hujui Hata Tofauti Ya Riba Hawaioni?
Halafu Unaacha ATM Na Password
Hii Nchi Ina Majipu Mengi Sana!
kwani ile benk ya walimu bado haijafunguliwa? /tatizo nn
benk ya walimu ingewasaidia, kuliko kulipa riba ya 40% au 18%.
Kama Bank wanakopesha kwa 18% halafu wewe ukaenda kukopa kampuni kwa riba ya 40% lazima tuhoji uwezo wako wa kufikiri.