Je wanaochukua mkop wana utindio wa ubongo? Nashauri hao jamaa wachuke zaidi ya 200% ya mkopo., na hiyo kadi ya benki wachukue milele. Ikiwa kama huyo mwalimu anamwadhibu mwanafunzi kwa kufeli mtihani, naye anastahili adhabu kali kwa ujinga huu. Yaani baadhi ya watumishi, hasa waalimu wanadhalilisha kada zao. CWT iweke faini kwa ujinga huu kwa wanachama wake.