Watumishi Hawa kiboko

Watumishi Hawa kiboko

Joined
Sep 13, 2015
Posts
49
Reaction score
29
Binafsi kulingana na pirikapirika zangu Kuna watumishi Hawa wawili hua naona hawana wito wa ajira Yao

Nawataja hapa kwavile mara nyingi nikifata huduma Yao majibu Yao au utoaji huduma wao unaweza jikuta unapanick sema ukicheck wewe ndio mwenye shida ya huduma inabidi tu utulie

Ebwana Kuna huyu mdada bonge mfupi mweupe pale mahakama ya mwanzo kinondoni hatari

Na huyu muhasibu wa CRB pale Eastern zone mpingo house noma

Labda damu zangu zimeshindwa kuendana nazo,. We mwenzangu watumishi gani ambao ushawahi kukutana nao ukasema duh!?
 
Back
Top Bottom