Watumishi, hakikisheni mnahakiki madeni yenu kwenye mabank mliyokopa kabla ya Ku-TOP UP Mikopo yenu. Mabenki yanawaibia

Hebu twende taratibu...

Wakakuambia "nliweka pesa kupitia simu(Tigo) miezi saba iliyopita bahati mbaya lile salio halikukatwa na tigo..."

Wewe mwenyewe unasemaje?! Uliweka pesa kwa kutumia Tigo?! If YES, umeangalia bank statement kuhakikisha kwamba kweli hiyo pesa haikuingia?!

Kama haikungia, kabla ya kwenda huko Tigo na kukuambia "Hakuna kitu kama hicho", uli-request Tigo Pesa Statement kuangalia ikiwa kweli hiyo pesa haikukatwa?!

Na kama Tigo Pesa ilikatwa, statement ya Tigo Pesa inaonesha DR ya Tigo Pesa na CR for the same amount kuonesha kwamba kweli pesa ilirudishwa Tigo Pesa?!

Sometimes Wateja na wenyewe wanakuwa na Janja janja nyingi, and when it comes to banking, hakuna cha janja janja!!!

Hapa weka uzi kishauliza wangapi wakiona kuna pesa imeingia kwenye akaunti yao kimakosa, watairudisha au wataripoti bank... majority watakuambia "Hawarudishi" huku wakidhani ni ujanja, kumbe ikitokea issue ya aina hiyo, watakachofanya bank ni kukupiga overdraft tu...
hebu muwe mnaangalia na watu wa kuwaibia basi, wengine mtajikuta mnaishia pabaya
 
Hebu twende taratibu...

Wakakuambia "nliweka pesa kupitia simu(Tigo) miezi saba iliyopita bahati mbaya lile salio halikukatwa na tigo..."

Wewe mwenyewe unasemaje?! Uliweka pesa kwa kutumia Tigo?! If YES, umeangalia bank statement kuhakikisha kwamba kweli hiyo pesa haikuingia?!

Kama haikungia, kabla ya kwenda huko Tigo na kukuambia "Hakuna kitu kama hicho", uli-request Tigo Pesa Statement kuangalia ikiwa kweli hiyo pesa haikukatwa?!

Na kama Tigo Pesa ilikatwa, statement ya Tigo Pesa inaonesha DR ya Tigo Pesa na CR for the same amount kuonesha kwamba kweli pesa ilirudishwa Tigo Pesa?!

Sometimes Wateja na wenyewe wanakuwa na Janja janja nyingi, and when it comes to banking, hakuna cha janja janja!!!

Hapa weka uzi kishauliza wangapi wakiona kuna pesa imeingia kwenye akaunti yao kimakosa, watairudisha au wataripoti bank... majority watakuambia "Hawarudishi" huku wakidhani ni ujanja, kumbe ikitokea issue ya aina hiyo, watakachofanya bank ni kukupiga overdraft tu...
Mkuu Statent ya tigo pesa Niliiomba na mpaka leo ninayo haineshi kama kuna miamala ya kiasi hicho cha pesa ila miamala mingine yote ya kutoka Tigo pesa kwenda bank au kutoka bank kuingia Tigo Pesa ipo .Kifupi ni kwamba Nilishajiridhisha kama kuna namna yoyote nlwahi kuchukua pesa ama bank ama huko Tigo pesa na haikukatwa kwa akili za watu wa Tigo na hata bank hakuna tukubali tu nao huwa kweli kuna nqmnq wanakosea kukata wateja ama kwa kukusudia ama kwa kutokusudia lkn kwa hii issue yangu makusudi yanabeba % kubwa sana
 
DR.mpango walipe madeni yao ya malimbikizo ya mshahara(areas) kabla mwaka huu haujaisha kwani hiyo ni haki yao, mwakani 2021 waanze na mambo mapya.
 
mimi sijapigwa mkuu na sitakaa nipigwe kizembe hivi, wape pole waliopigwa
Sijakupa pole eti kwa sababu nadhani umepigwa bali nimekupa pole kwa wewe kudhani nami ni Mtumishi wa Bank let alone kuwa Mtumishi wa CRDB!!!
 
Niliwahi kwenda ku settle mkopo wangu CRDB, wakanihoji sana kwa nini nataka kufanya hivyo. Ni kwamba wanataka uendelee kulipa taratibu ili wale riba ya kutosha. Sasa balaa walivyonipigia mahesabu ya salio la mkopo walijumlisha na riba yote. Nikawauliza hivi mtu ukirudisha mkopo mapema bado unalipa na riba ya miaka yote iliyobaki? Walivyoona nina hoji nikapigiwa mahesabu upya, nikalipa principle iliyobaki na riba ya miezi mitatu niliokoa kama 2.5M. Kwenye top up pia inapaswa riba ipungue maana unakuwa una settle mkopo wa awali. Kwa hiyo ni principle ya mwezi huo na riba ya miezi mitatu. Ni muhimu kuwa na mkataba wa marejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuingiliana, HAPANA ila Human Error, ALWAYS POSSIBLE ingawaje sio justification unless kama modern banking practice hawafanyi vouchers' doublechecking... vouchers vs transactions!!
Ila hawa jamaa wezi kweli aisee
 
Niliwahi kwenda ku settle mkopo wangu CRDB, wakanihoji sana kwa nini nataka kufanya hivyo. Ni kwamba wanataka uendelee kulipa taratibu ili wale riba ya kutosha. Sasa balaa walivyonipigia mahesabu ya salio la mkopo walijumlisha na riba yote. Nikawauliza hivi mtu ukirudisha mkopo mapema bado unalipa na riba ya miaka yote iliyobaki? Walivyoona nina hoji nikapigiwa mahesabu upya, nikalipa principle iliyobaki na riba ya miezi mitatu niliokoa kama 2.5M. Kwenye top up pia inapaswa riba ipungue maana unakuwa una settle mkopo wa awali. Kwa hiyo ni principle ya mwezi huo na riba ya miezi mitatu. Ni muhimu kuwa na mkataba wa marejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa kabisa
 
Back
Top Bottom