Elasticsearch sio database kama hizo ulizotaja. Ambazo mainly ni SQL elasticsearch ni NoSQL kwasababu haina structure na inaweza pokea structure yoyote.
Na Pia ukiona unatumia elasticsearch kama DB tu... Pengine ni vizuri kurevisit use case yako kuangalia kama ni sahihi kubebea mzgo wa gunia 2 kwa kutumia scania 😂.
That said.
Personally naitumia kwa project ambayo siwezi weka details nyingi wazi for now. Ila mainly ni kama search engine, log analyzer na analytics za user actions.
Kwenye logs hapa mfano, nakua na standard log format flan ya application/system ambayo ni JSON.
Bhana bhana. Inakua ni rahisi sana kufanya queries za aina yoyote kwenye hizi data. Mfano error gan inatokea sana kwenye service, users wanafanya actions zipi sana, n.k
Unaweza hisi mbona hata Google analytics inafanya haya, lkn visualizations unazoweza tengeneza from elasticsearch kama unatumia na kibana ni one of a kind mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.