Watu weusi (wenye asili ya Afrika) niliojifunza kutoka kwao

Mtu mwenye mawazo ya hovyo sana

Kudhani ni sawa waafrika kukaa na roho za visasi na watu waliowaonea zamani

Anaamini ubaguzi mrejesho kwa wazungu na mataifa mengine ni sawa

Anaamini africa inaweza kujifanyia vitu yenyewe bila kushirikisha ulimwengu

Anadhani kukaa na kubagua wengine na kulalamikia ukoloni uliokwishapita ndio solution

Anadhani waafrika ndio wanadamu bora kuliko wanadamu wengine

Wanadamu tupo duniani miaka zaidi ya bilioni,uonevu ushatokea mahali pengi kwa mamiaka elfu na elfu

Tatizo ni kwamba,wale walioonewa walikuja wakajifunza mbinu za maendeleo na wakawapita wale waliowaonea lakini sio upumbavu wa malalamika na reverse rascism

Mfano bora ni Wachina vs Wajapan....wajapan walishawaonea wachina na kuwatawala kwa muda mrefu tu,ila leo China imeipita Japan kwa kila kitu,lakini huoni upumbavu wa ubaguzi na kukaa kunung'unika badala ya kufanya kazi na kutatua matatizo na kufanikiwa na kuwapita waliokutangulia

Huyu anakula na kupata hela za speaking sababu ya malalamiko yasioisha ya ukoloni na kutukana wazungu na mataifa mengine maana anagusa sentiments za waafrika hivyo atapata followers

Hawezi sema tufanye kazi kwa bidii,tujenge demokrasia zetu,tufanye biashara na dunia nzima bila ubaguzi,tuibe maarifa,tujenge teknolojia,tufanye uzalishaji tuuze tupate fedha tujenge hizi nchi tuwapite walio mbele yetu....hasemi hivi maana hatapata wafuasi

Upo sawa kabisa, umesahau anaongea kengereza cha hovyo kuliko mtu yoyote Africa.
Ukichunguza kiundani hatoi soluhisho bali kusifua kina nkuruma na Nyerere ambao kwa kiasi fulani walifeli kujenga misingi mizurivya kiuchumi na kupelekea mpaka leo hakuna nchi ya waafrica weusi ilio bora kiuchumi kulinganisha na Asia na Ulaya.
 
Naskia aliwahipewa Taasisi moja Kenya kuiongoza, aliishia kuongea tuu hakuna kilichofanyika🤣🤣🤣
Hapa umeandika.
Au mi sijui kusoma, usema alipewa taasisi akashindwa unamaanisha nini?
Kunatofauti gani na mtu anaemini kuwa bosi wa taasisi ndie anaebadili taasisi.
Unajua kuleta mabadiriko kwenye taasisi ya serikali ni ngumu sana hasa kwa sheria na mifumo iliopo, muda mwingine huna hata meno ya kufukuza wafanyakazi au kubadili sera.
Mfano JPM alikuwa anajatribu kubadili tabia za taasisi hivyo alivunja hadi katiba kutokana na kuwepo urasimu ktk nchi, sasa kwa mtu ambae hana mamlaka kama ya raisi ni ngumu sana kuzibadili taasisi zetu ila lawana hutupiwa yeye kwa sababu mkubwa ni jalala.
 
Hapa umeandika.
Au mi sijui kusoma, usema alipewa taasisi akashindwa unamaanisha nini?
Kunatofauti gani na mtu anaemini kuwa bosi wa taasisi ndie anaebadili taasisi.
Unajua kuleta mabadiriko kwenye taasisi ya serikali ni ngumu sana hasa kwa sheria na mifumo iliopo, muda mwingine huna hata meno ya kufukuza wafanyakazi au kubadili sera.
Mfano JPM alikuwa anajatribu kubadili tabia za taasisi hivyo alivunja hadi katiba kutokana na kuwepo urasimu ktk nchi, sasa kwa mtu ambae hana mamlaka kama ya raisi ni ngumu sana kuzibadili taasisi zetu ila lawana hutupiwa yeye kwa sababu mkubwa ni jalala.
Sawa Mkuu upo right..thanks
 
Mkuu ni Hard copy??? Mi soft copy inanisumbua Sana naomba Tafadhali kama unaweza kunielekeza pa zkupata Hardcopy
Nenda mtaa wa Mkwepu utavikuta vitabu vyake, kama vimeisha utaelekezwa pa kupata. Naamini bookshop bado ipo, ingawa ni kitambo kidogo nilipotembelea maeneo ya mjini kati Dar. Ni jirani sana na ilipokuwa Club Bilicanas ya Freeman Mbowe
 
Huyo mmoja Myles Monroe unatakiwa ujisifie kwasababu ya jina lake limeenda shule na ukilitamka linaleta ladha flani.

Lakini hao wengine wawili hayo majina Yao ya pili yamekaa kushoto sana sijui Lumumba sijui Mpongo WTF. Kwenye Joshua kaanzia vizuri Dah kamalizia Mpongo really?! Utazan ni jina flani la miti shamba huko Nyarugusu.

Kuna majina mengi tu huyo Joshua angejipachika pia Lumumba angelifuta wangeejiita Rodgers Stone, Charlie Preston, Phil Davis, Jonathan Ross, Bruce McGregor, Tommy Fury, Chris Wallace, Avitus Cummings ingependeza sana.

mjingamimi The Boss @secret file
Kweli leo ndio nimeamini kuwa wapo ambao hawakufungwa minyororo bali walijipeleka wenyewe kwa hiyari yao utumwani.
 
Back
Top Bottom