Hadidu hapo ni kutokana na mkanganyiko Wa mambo yanayojiri nchini kwetu.Toa Hadidu za rejea kwanza tupate pa kuanzia.
Unamaanisha Li-Joka-Lenye Makengeza?Kwa Tanzania Chenge ni namba moja
Usiseme akili sema uwezo wa kutambua kipi sahihi na si sahihi (IQ) akili ata chizi anazo.Najaribu kuwaza tu mfano ikifanyika sensa ya utambuzi Wa akili za watu duniani ( kutafuta nchi yenye watu wenye akili sana nchi ya kwanza hadi ya mwisho) unafikili Tanzania inaweza shika namba ngapi na kwa nini?
Sasa uo uwezo si ndio akiliUsiseme akili sema uwezo wa kutambua kipi sahihi na si sahihi (IQ) akili ata chizi anazo.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us