pure gunner
Member
- Feb 5, 2018
- 38
- 26
Wanabodi salamu kwenu nyote
Ipo hivi wadau, leo katika mishemishe zangu hapa town mara ghafla akaja kijana wa makamo sehemu ofisi yangu ilipo kwa ajili ya kupata huduma lakini nilipomuona nikajiridhisha kabisa ni kijana tuliekuwa nae mtaani huko kijijini kitambo hivyo ikabidi nimsogelee walau nimjulie hali na kubadilishana mawazo kabisa
Lahaulaah sikuamini kilichotokea nimemsabahi vyema ajabu mwanaume anajibu kwa mapozi balaaa na dharau za hali ya juu kumueleza ndugu vipi sura yako si ngeni kwangu kama tumeonana sehem Jamaaa sijui kaniona kama muhuni kwa kuwa sijachomekea kama yeye au kwa kuwa sikuwa ki official kama yeye, jamaa kajibu hata bila kuniangalia vizuri hajui lolote akasepa.
Nimeuzika sana na huyu mpumbavu kenge kabisa anafikiri wote labda tusiokua ki official ni wahuni wa hapa mjini au ombaomba shetwain kabisa.
Naweza vaa sendors na bado pesa naingia sio lazima wote tunyonge tai na joto hili au kuwasikiliza watu wa tabaka fulani tu kulingana na status zao.
Mtu kakuita msikilize kwanza bila kujali huwezi jua ana umuhimu gani kwako.Mwanaume kama mwanamke bana.
Ipo hivi wadau, leo katika mishemishe zangu hapa town mara ghafla akaja kijana wa makamo sehemu ofisi yangu ilipo kwa ajili ya kupata huduma lakini nilipomuona nikajiridhisha kabisa ni kijana tuliekuwa nae mtaani huko kijijini kitambo hivyo ikabidi nimsogelee walau nimjulie hali na kubadilishana mawazo kabisa
Lahaulaah sikuamini kilichotokea nimemsabahi vyema ajabu mwanaume anajibu kwa mapozi balaaa na dharau za hali ya juu kumueleza ndugu vipi sura yako si ngeni kwangu kama tumeonana sehem Jamaaa sijui kaniona kama muhuni kwa kuwa sijachomekea kama yeye au kwa kuwa sikuwa ki official kama yeye, jamaa kajibu hata bila kuniangalia vizuri hajui lolote akasepa.
Nimeuzika sana na huyu mpumbavu kenge kabisa anafikiri wote labda tusiokua ki official ni wahuni wa hapa mjini au ombaomba shetwain kabisa.
Naweza vaa sendors na bado pesa naingia sio lazima wote tunyonge tai na joto hili au kuwasikiliza watu wa tabaka fulani tu kulingana na status zao.
Mtu kakuita msikilize kwanza bila kujali huwezi jua ana umuhimu gani kwako.Mwanaume kama mwanamke bana.