Watu wengine sijui wana akili gani tu

Watu wengine sijui wana akili gani tu

Mjini hapa vibaka kibao,we mwenyewe unaonekana ulikua "rafu" ulitaka jamaa akuamini vp.
 
Ww ndio mchokozi unavamia vamia watu.
acha watu wakukumbuke wenyewe usijipendekeze
ukumbukwe .........
usirudie tena alaa........
 
Sema ni kijiji gani? Maana tunaweza muhukumu huyo chizifresh kumbe ndio mikato yenu mkishapata uhakika wa kwenda chooni mara2 per day.
 
Back
Top Bottom