Nina wasiwasi ww Pdidy ni mmoja wa vibaka wa pale Barack Obama Drive, haiwezekani juzi umeshuhudia mtu anaporwa eneo hilo hilo na leo tena umeshuhudia???
Noooo lazima uisadie police bwana!
weka picha
nimefuatilia uzi huu karibia kila comment hakuna sehemu ambayo pdidy kakanusha kuhusishwa kwake na wizi,nami naungana na wengine kuwa pdidy ni kibaka na jambazi mzoefu huko dar,haiwezekani matukio yote ya wizi dar na ujambazi ni pdidy tu ndo anakuja na updates za haraka,dar ilivyo kubwa analeta habari ya tukio lililojiri dk 32 tu na si mara moja kufanya hivyo,inasemekana hata kale ka SMalL PDidy ni kadogo kake na huyu jamaa na kalikatwa mapanga kwenye wizi hakana mikono na huwa kanaandikia miguu ndo maana kana mwandiko mbaya sana.
Aisee hata mm naamini hivyo, hivi vijamaa viwili ni vibaka.
Kale ka-Small siku hizi hakapatikani sana humu labda kanauguza majeraha
Kama ni wao vibaka wa pale beach ya Barack Obama Drive basi walaaniwe maana walivunja kioo cha gari langu kwa jiwe???
Wanatakakunichunguza kamaniko ikulu mini??hahaa waambie hiyo ndionjiayangu yamazoezi bans shark wasihofu!!kwani polisi!!vibaka awatuhusiwi kujiunga jf!! Embunaomba details za Mo11. Tumpitishe usikukule,,,,,Pdidy sihokibakabali ninjiha yakeeanapitagaaki tokaofisinkwani anafanyakazi mjininafoleni anakwepa!!
Ntarudi badae!!cc matolaAisee hata mm naamini hivyo, hivi vijamaa viwili ni vibaka.
Kale ka-Small siku hizi hakapatikani sana humu labda kanauguza majeraha
Kama ni wao vibaka wa pale beach ya Barack Obama Drive basi walaaniwe maana walivunja kioo cha gari langu kwa jiwe???
Ntarudi badae!!cc matola
Shark
Ha ha ha ha jombaa woga wako tu wala hua hatupo pande hzo ni just hua tunapenda zungukia vitaa vya town so inshu kama hzo hua tunakutana nazo sana. Kwa mfano ukitaka inshu yoyote ya uwanja wa ndege u jus check with Informer