watu wasopendelea maendeleo ya wenzao

watu wasopendelea maendeleo ya wenzao

bidodo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
217
Reaction score
90
Kuna watu jamani wamezidi.Especially hizi nchi za nje tunazoishi. Utakuta mtu anamsema mwenziwe kisa anafanya kazi ya vizee.kwani si anafanya yeye, wewe imekuhusu nini. Ati mie hata nipewe bure kazi ile siifanyi. Ukitizama kazi yake kuzaa na kupikia bwana. Simu nyingi kusemana tunatakiwa tujipange kwani huyo anozoa mavi mbona anamaendeleo maana kaja ulaya kutafuta.kanunua nyumba ulaya hadi kwao. Wadau nyie mnaonaje na hawa madomo kaya ukitizama wanapindwa viwandani wengine na pesa yenyewe ya kawaida tu au ndio wivu
 
bidodo wewe tizama lako binaadamu huwawezi...hawachoki kukusemaa..
 
Last edited by a moderator:
Ok farkhina thanks kwa ushauri mie huwa nawapotezea tu
 
Last edited by a moderator:
Achana nao hao wewe piga box ila usiwasahau wazazi wako
 
Wabongo wanatisha wakina Diana wapo wengi
 
Ok farkhina thanks kwa ushauri mie huwa nawapotezea tu
  • Yap hili ndi lo la msingi "kuwapotezea", kila iitwayo leo kumbuka kwenu umetoka peke yako, hivyo hupaswi kabisa kupoteza muda kusikiliza fulani kasema nini au anafanya nini.
 
Wew biga box mwanzo mwisho achana nao, vp baridi saiv lipo ama??
 
Nifanyie mpango nikufuate tuungane..
 
Pole kwa yaliyokukuta.............

we sio wa kwanza wala wa mwisho kusema
 
Kuna watu jamani wamezidi.Especially hizi nchi za nje tunazoishi. Utakuta mtu anamsema mwenziwe kisa anafanya kazi ya vizee.kwani si anafanya yeye, wewe imekuhusu nini. Ati mie hata nipewe bure kazi ile siifanyi. Ukitizama kazi yake kuzaa na kupikia bwana. Simu nyingi kusemana tunatakiwa tujipange kwani huyo anozoa mavi mbona anamaendeleo maana kaja ulaya kutafuta.kanunua nyumba ulaya hadi kwao. Wadau nyie mnaonaje na hawa madomo kaya ukitizama wanapindwa viwandani wengine na pesa yenyewe ya kawaida tu au ndio wivu

Binadamu haishi kukosoa! Cha msingi we jali yanayokuhusu yao yasikupotezee muda!
 
Back
Top Bottom