Watu wanahangaika wee na kutumia nguvu nyingi utazani waliongea na Mungu

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,034
144,388
Hawa wenzetu wanahangaika sana na kutumia nguvu nyingi utazani wameongea na Mungu wakati hakuna binadamu yoyote aijue kesho.

Sisi tunawaangalia tu ila nawakumbusha kuwa hakuna anaejua mipango ya Mungu hivyo wasijisahau maana ya kesho hakuna anayeyajua zaidi ya Mungu.

Wengine kwa saa ni yetu macho na masikio.
 
Aongezewe tu na ajira za sekt binafsi nazo zinayeyuka kwa mwendo kasi.....ajabu......ajira zinaondoka....sababu hakuna ubunifu ni matamko tu kwenye viwanda.....kwa wawekezaji ni visasi! Kodi kwa bunduki kodi hazina kichwa wala miguuu!!! Uchumi kurupuka.....!! Tunajuta!!!
 
kuna mijit inaudh kaka hatar et wanaandamana cjui wananch hawaon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…