Kimbesa11
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 4,652
- 2,696
Wenzetu wa CHADEMA mnakesha mitandaoni daily kumbe mnategemea mle kwa njia ya kutapeli watu maskin kupitia donation za kitapeli hii ni aibu.
Halafu nimeshangaa kuona chadema wanajiita baba wa Gen z (panyaroad) huku uchangishaji wao wa kitapeli ukidolola, washindia mil 10 kwa saa 24 hii inamaana kwamba watu wamekataa siasa za kitapeli siasa za kutegemea kulishwa kwa donation za kitapeli. Unaweza kuona hata hiyo mil. 10 haipo ni uongo tu.
My take: Siasa siyo shamba la kulishia familia yako tafuta kazi mubadala ya kujiingizia hela, hzo hela za donation ni sawa na Hela za rambirambi zimejaa laana tu.
WATANZANIA KATAENI UTAPELI WA VIONGOZI WA CHADEMA ACHENI KUWACHANGIA.
Halafu nimeshangaa kuona chadema wanajiita baba wa Gen z (panyaroad) huku uchangishaji wao wa kitapeli ukidolola, washindia mil 10 kwa saa 24 hii inamaana kwamba watu wamekataa siasa za kitapeli siasa za kutegemea kulishwa kwa donation za kitapeli. Unaweza kuona hata hiyo mil. 10 haipo ni uongo tu.
My take: Siasa siyo shamba la kulishia familia yako tafuta kazi mubadala ya kujiingizia hela, hzo hela za donation ni sawa na Hela za rambirambi zimejaa laana tu.
WATANZANIA KATAENI UTAPELI WA VIONGOZI WA CHADEMA ACHENI KUWACHANGIA.