Watu walio na midomo iliyo babuka

Sasa kama hivi ni vipimo vyako (kubabuka kwa mdomo) basi na 50Cent ni mwathirika. Mimi huwa nahisi ni sababu ya unyonyaji K uliovuka mipaka
Hahahahaha,,,mbona mi nanyonywa lakin hababuki bana
 
acha dharau unadhani kuna anayependa hali hiyo
 
Ahahaha Mama sabrina unafanya tuanze chunguza watu midomo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Sema mimi kuna anko angu alikua mtaaratibu saana mambo yake, alikua anababuka sana midomo tukawa tunamuonea huruma kwamba anko ana midomo mibaya sana aseee kumbe anapiga konyagi balaa na alianza kuzipiga shule ya msingi hukoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeelezea hapo kuwa kuwa pombe kali zinababua midomo
 
Inategemeana...kuna watu wan lips nyekundu,kuna wengine wana lips nyeusi,n.k
 
Aiss wewe ni mnyanyapaa hatariiii,naomba uupate

Sent from my TV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…