Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,126
Nimekupenda bureBinafsi ni mpiga Makelele. Mtukutu, Mchokozi, mkorofi Yaani sipendi sehemu itulie hata siku moja.
Kipindi Tunasoma Boarding tulikuwa tunatabia ya kuamka usiku wa manane. Tunaenda kuchukua ngoma za UKWATA. Tunarudi Bwenini tunapiga ngoma tunacheza tukiwa na Viboxer tuu.
Hapa watu wataamka na kutukemea lakini tumo. Au tugonge kengele usiku wa manane yaani kwa kweli mimi napenda Life la kashi kashi. Sipendi utulivu hata siku moja.
Hata hapa kitaa huwezi simama na demu wa kitaani kwetu alafu wewe ni mtu wa kuja.
Napenda tabia yangu kwa maana tunaifanya jamii ichangamke. Tunawapa kazi polisi.
Pia tunaamini ndio tabia halisi ya kiume. Sio unazubaa Zubaa kama Zombi
We sio fata mkumbo