Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Mkuu japo mm sina gari ,lakini hii kitu inaniuma mpaka kesho,daladala inabeba watu 30 kwa 500tsh.,inatakiwa ilipie 7000tsh kama bridge toll,ijaze mafuta,ikusanye hela ya kwa bosi,dereva na konda wapate mkato wao,aisee hapana ,inauma mno.Nimefuatilia suala la daraja hili kwa uchache na kugundua kuwa ni restrictive kwa matumizi. Sina hakika iwapo ni kiwango kikubwa cha tozo ya ushuru wa barabara (road toll) au kama kuna sababu nyingine.
Ila nimegundua kuwa ni magari machache sana yanayotumia daraja hili:
1. Ubovu wa barabara -pande zote mbil. Nakumbuka ahadi ya mkuu wa nchi alipokuwa analizindua daraja hili akaahidi itajengwa barabara walau ya upande wa Kigamboni kwa kiwango cha lami kwa dharura. Mpaka leo sioni dalili zozote za ujenzi wa barabara hii kwa udharura uliotajwa. Aidha ukishavuka barabara upande wa kuelekea mjini kuna mashimo makubwa na ya kutisha kwenye barabara ya shimo la udongo. Sina hakika kama serikali inayaona haya au inamuhitaji mheshimiwa Rais kushughulika na mambo haya.
2. Toll inayotozwa bado naona ni kubwa mno ukilinganisha na uwezo wa watumiaji wake. Hakuna daladala yenye uwezo wa kulipia road toll 7,000 au zaidi ili kupitisha gari mara moja wakati wa kurudi unalipa kiasi hichohicho. Aidha kama kumbukumbu zangu ziko sawa nakumbuka malori makubwa yanavuka hadi kwa shs. 100,000/= hivi. Kwa biashara gani itakayomfanya mtu apate fedha hizo zote? Naomba wizara husika isijitoe ufahamu kwenye jambo hili na irudi kwenye uhalisia wa maisha na sababu za uwepo wa daraja.
Nakumbuka daraja liliwekwa ili kupunguza kero kwa wavukaji wa panton zetu. kama bado hiyo ni sababu, basi iko haja kwa serikali kuliangalia suala hili. Ikumbukwe kuwa Tanzania si nchi ya kwanza kulipia ushuru wa barabara kwa hiyo kuwa na viwango vya ajabuajabu kwenye tozo la ushuru wa barabara, ila pia isionekane kuwa kuna nia madhubuti ya kurudisha fedha yote ya ujenzi kwa kipindi kifupi kama nia ilikuwa ni kurekebisha kasoro zilizokuwepo.
Naamini wakubwa wanapitia humu na niwaombe wachukulie serious jambo hili. Chondechonde tuokoleeni maisha yetu watumiaji wa Panton ili na sisi tusijisikie kana kwamba ni wapiga mbizi
Ungeweka takwimu kuthibitisha unachokisema au mwingine nae atakuja kusema ni wengi sana wanatumia hilo daraja. Kwa urahisi tu kumbuka foleni ya magari kivukoni kabla ya daraja halafu linganisha foleni ya magari kivukoni baada ya daraja kufunguliwa.Nimefuatilia suala la daraja hili kwa uchache na kugundua kuwa ni restrictive kwa matumizi. Sina hakika iwapo ni kiwango kikubwa cha tozo ya ushuru wa barabara (road toll) au kama kuna sababu nyingine.
Ila nimegundua kuwa ni magari machache sana yanayotumia daraja hili:
1. Ubovu wa barabara -pande zote mbil. Nakumbuka ahadi ya mkuu wa nchi alipokuwa analizindua daraja hili akaahidi itajengwa barabara walau ya upande wa Kigamboni kwa kiwango cha lami kwa dharura. Mpaka leo sioni dalili zozote za ujenzi wa barabara hii kwa udharura uliotajwa. Aidha ukishavuka barabara upande wa kuelekea mjini kuna mashimo makubwa na ya kutisha kwenye barabara ya shimo la udongo. Sina hakika kama serikali inayaona haya au inamuhitaji mheshimiwa Rais kushughulika na mambo haya.
2. Toll inayotozwa bado naona ni kubwa mno ukilinganisha na uwezo wa watumiaji wake. Hakuna daladala yenye uwezo wa kulipia road toll 7,000 au zaidi ili kupitisha gari mara moja wakati wa kurudi unalipa kiasi hichohicho. Aidha kama kumbukumbu zangu ziko sawa nakumbuka malori makubwa yanavuka hadi kwa shs. 100,000/= hivi. Kwa biashara gani itakayomfanya mtu apate fedha hizo zote? Naomba wizara husika isijitoe ufahamu kwenye jambo hili na irudi kwenye uhalisia wa maisha na sababu za uwepo wa daraja.
Nakumbuka daraja liliwekwa ili kupunguza kero kwa wavukaji wa panton zetu. kama bado hiyo ni sababu, basi iko haja kwa serikali kuliangalia suala hili. Ikumbukwe kuwa Tanzania si nchi ya kwanza kulipia ushuru wa barabara kwa hiyo kuwa na viwango vya ajabuajabu kwenye tozo la ushuru wa barabara, ila pia isionekane kuwa kuna nia madhubuti ya kurudisha fedha yote ya ujenzi kwa kipindi kifupi kama nia ilikuwa ni kurekebisha kasoro zilizokuwepo.
Naamini wakubwa wanapitia humu na niwaombe wachukulie serious jambo hili. Chondechonde tuokoleeni maisha yetu watumiaji wa Panton ili na sisi tusijisikie kana kwamba ni wapiga mbizi
Dr mpango wa mipango analielewa hili suala?Mkuu japo mm sina gari ,lakini hii kitu inaniuma mpaka kesho,daladala inabeba watu 30 kwa 500tsh.,inatakiwa ilipie 7000tsh kama bridge toll,ijaze mafuta,ikusanye hela ya kwa bosi,dereva na konda wapate mkato wao,aisee hapana ,inauma mno.
Acha Mungu Mwenyezi aendelee kutulaani,tumekuwa wapumbavu mno,
Unalipisha vp daraja tozo kama linabomoka kesho,halafu barabara mbovu,
Sio bure,tumerogwa sisi ,kila mahali hovyo tu,mpaka inachosha kuitwa mtanzania
huku kwetu hamna tozoHvi na daraja la Rufiji nalo lina tozo?
Bila shaka atakuwa anafahamu,sema ndio hivyo ,tangu lini aliyeshiba akamjua mwenye njaaDr mpango wa mipango analielewa hili suala?
Siamini kama hapa ndio mwisho wa akili zako,naamini unaweza ukafikiri zaidi ya hapo,Dau ashikiliwe hadi daraja litakaporudisha hela zetu za NSSF