Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,836
Mkuu si unajua familia zetu hizi ukiwatenga ndugu unaonekana mbaya ila dahMkuu inakuwaje unaishi na mtu wa ivo mimi kwangu hata mke ni kazi kuishi nae Yani ni mama tu na mjukuu wake hata Father siwezani nae
Unazo dalili zote za kufa masikini kwa kuonea aibu mambo ambayo siyo lazima kwako!,maisha haya unaonea aibu jambo ambalo si wajibu wako?Mkuu si unajua familia zetu hizi ukiwatenga ndugu unaonekana mbaya ila dah
Pengine labda ulikulia kwa ndugu kipindi icho mimi sijawah kwenda ata likizo kwa ndugu niko close na mama tangu mchanga atleast babu nae alishakufa , swala la ndugu ni pasua kichwa watakurudisha nyuma just jitazame mwenyewe haina maana ujitenge no ila usijotoee sana kwao shiriki na changia matukio muhimu kama misiba,harusi au mambo ya kimira ila usijaribu kuishi na ndugu utamchoka na utashindwa kumuelezaMkuu si unajua familia zetu hizi ukiwatenga ndugu unaonekana mbaya ila dah
Wapo
Ila huyo ndio mzuri
Akirudi atalalia maji mwezi mzima hadi aage
Unalaana ya ukoo unaitaji maombi .kurekebisha hilo.inawezekana wewe ni aina ya Kikwete kwenye ukoo wenu.so check and change for better of your family as head and the way of your family breakthrough.Umeshawahi kukaa na mtu ambaye anakutegemea kwa kila kitu hasa ndugu au watoto wa ndugu zako, yaaani we unampa sapoti katika kila kitu na anaelewa shida unazopitia, lakini ikitokea siku unashida au unanjaa yaani hapo home umekwama na unajua kabisa jamaa yuko vizuri na anaweza kukusapoti kwa siku hiyo au akakuazima japo hela kidogo ili MLE WOTE hapo hapo nyumbani LAKINI jamaa anakuwa tayari hata mlale njaa au udhalilike yaani hayuko tayari kuchangia au kutoa chochote. Hawa watu sijui huwa wanawaza nini, mtu unamsapoti kwa kila kitu lakini ikitokea siku umekwama hayuko tayari kuchangia hata buku mbili ya Unga, na anaweza kwenda kwao(kama mnakaa mjini yeye akaenda kuwaona wazazi kijijini) na asirudi hata na kadebe ka mahindi au mpunga na unajua kwao wanavyo hivyo vitu! UBINADAMU KAZI WAKUU
Aliye kuzaa ana hasara .unaishi kama mkia badala ya kichwa.vinginevyo ungekuwa Leo unatusimulia jinsi ulivyo fanikiwa kufanikisha kujitegemea kwa walio kutegemea kama God anointed for our family breakthrough. Kwa tabia yako tegemea bad ends .your selfishMkuu inakuwaje unaishi na mtu wa ivo mimi kwangu hata mke ni kazi kuishi nae Yani ni mama tu na mjukuu wake hata Father siwezani nae
Lady m umesahau kitu moja.aswa ukizingatia wee mtoto Wa kike.nenda muulize mama nishauku gani iliyomfanya awazae wengi.hakika jibu lake itakuwa ili upatikane usaidizi mkubwa baina ya ndugu.sasa we we unaukataa .unafikiri sio laana hiyo unatafuta !!!?Mi ninachodhani ukiamua kumsaidia mtu msaidie huko aliko siyo aje home kwako!!!!!
Huyu sio MTU baki ni ndugu yako.kwa rekebisho hilo.unasemaje !!??Mi ninachodhani ukiamua kumsaidia mtu msaidie huko aliko siyo aje home kwako!!!!!
Nishaishi na ndugu pasua kichwa aisee....Sipati picha
kumbe una moyo mgumu eeh?