Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,148
- 162,549
Mtu kutoka kundi la watu hawa siku ya kupiga kura anaingia kwenye chumba cha kupiga kura na kuchagua viongozi kama ifuatavyo.
1.Raisi kutoka chama kilichoshindwa
2.Mbunge kutoka chama kilichoshindwa
3.Diwani kutoka chama kilichoshindwa.
Sifa kuu za mtu huyu(zote au baadhi):
1.Ujinga(kukosa elimu)
2.Umasikini
3.Kuishi vijijini
4.Kukosa exposure
5.Ulughalugha
6.Ana umri wa miaka 60,70 au zaidi
7.Anakaribia kustaafu
8.Hamiliki smartphone(haingii mitandaoni)
9.Ni mpenzi wa kusikiliza TBC
10.Ni mpenzi wa kuangalia TBC
11.Elimu ya darasa la saba au chini ya hapo.
12.Alisoma elimu ya mkoloni
13.Mstaafu wa siku nyingi
14.Ni mnufaika wa system kwa namna moja au nyingine.
Kama unabisha fanya utafiti uone
1.Raisi kutoka chama kilichoshindwa
2.Mbunge kutoka chama kilichoshindwa
3.Diwani kutoka chama kilichoshindwa.
Sifa kuu za mtu huyu(zote au baadhi):
1.Ujinga(kukosa elimu)
2.Umasikini
3.Kuishi vijijini
4.Kukosa exposure
5.Ulughalugha
6.Ana umri wa miaka 60,70 au zaidi
7.Anakaribia kustaafu
8.Hamiliki smartphone(haingii mitandaoni)
9.Ni mpenzi wa kusikiliza TBC
10.Ni mpenzi wa kuangalia TBC
11.Elimu ya darasa la saba au chini ya hapo.
12.Alisoma elimu ya mkoloni
13.Mstaafu wa siku nyingi
14.Ni mnufaika wa system kwa namna moja au nyingine.
Kama unabisha fanya utafiti uone