Watu wa aina hii ndio wanaotuponza

Watu wa aina hii ndio wanaotuponza

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,148
Reaction score
162,549
Mtu kutoka kundi la watu hawa siku ya kupiga kura anaingia kwenye chumba cha kupiga kura na kuchagua viongozi kama ifuatavyo.

1.Raisi kutoka chama kilichoshindwa

2.Mbunge kutoka chama kilichoshindwa

3.Diwani kutoka chama kilichoshindwa.

Sifa kuu za mtu huyu(zote au baadhi):
1.Ujinga(kukosa elimu)
2.Umasikini
3.Kuishi vijijini
4.Kukosa exposure
5.Ulughalugha
6.Ana umri wa miaka 60,70 au zaidi
7.Anakaribia kustaafu
8.Hamiliki smartphone(haingii mitandaoni)
9.Ni mpenzi wa kusikiliza TBC
10.Ni mpenzi wa kuangalia TBC
11.Elimu ya darasa la saba au chini ya hapo.
12.Alisoma elimu ya mkoloni
13.Mstaafu wa siku nyingi
14.Ni mnufaika wa system kwa namna moja au nyingine.

Kama unabisha fanya utafiti uone
 
Mtu kutoka kundi la watu hawa siku ya kupiga kura anaingia kwenye chumba cha kupiga kura na kuchagua viongozi kama ifuatavyo.

1.Raisi kutoka chama kilichoshindwa

2.Mbunge kutoka chama kilichoshindwa

3.Diwani kutoka chama kilichoshindwa.

Sifa kuu za mtu huyu(zote au baadhi):
1.Ujinga(kukosa elimu)
2.Umasikini
3.Kuishi vijijini
4.Kukosa exposure
5.Ulughalugha
6.Ana umri wa miaka 60,70 au zaidi
7.Anakaribia kustaafu
8.Hamiliki smartphone(haingii mitandaoni)
9.Ni mpenzi wa kusikiliza TBC
10.Ni mpenzi wa kuangalia TBC
11.Elimu ya darasa la saba au chini ya hapo.
12.Alisoma elimu ya mkoloni
13.Mstaafu wa siku nyingi.

Kama unabisha fanya utafiti uone
Mkuu hata kama wangekuwa wanajitambua,Mimi binafsi siamini kama mpiga kura wa Tanzania na kura yake kama inachagua kiongozi,yaani nyie watu kama mmeshindwa kujifunza kwa yaliyotokea Zanzibar 2015 basi nianze kuamini TZ hakuna upinzani wa kweli
 
Ngoja niendelee kupata jibapa hapa BTW kura ni makaratasi tu ila mwenye kuamua nani awe kiongozi ni utashi wa Juma Ponda Mali
 
Mtu kutoka kundi la watu hawa siku ya kupiga kura anaingia kwenye chumba cha kupiga kura na kuchagua viongozi kama ifuatavyo.

1.Raisi kutoka chama kilichoshindwa

2.Mbunge kutoka chama kilichoshindwa

3.Diwani kutoka chama kilichoshindwa.

Sifa kuu za mtu huyu(zote au baadhi):
1.Ujinga(kukosa elimu)
2.Umasikini
3.Kuishi vijijini
4.Kukosa exposure
5.Ulughalugha
6.Ana umri wa miaka 60,70 au zaidi
7.Anakaribia kustaafu
8.Hamiliki smartphone(haingii mitandaoni)
9.Ni mpenzi wa kusikiliza TBC
10.Ni mpenzi wa kuangalia TBC
11.Elimu ya darasa la saba au chini ya hapo.
12.Alisoma elimu ya mkoloni
13.Mstaafu wa siku nyingi.

Kama unabisha fanya utafiti uone

yes, those could be our parents, uncles etc, the best thing they did is to give us education.That is there history, in your generation to make history u dont need them!! You lack convincing and respectable language....u lack motivation and definitely the best u can is to point fingers to others!! that is a sign of failures, we have everything to remove ccm from power, we just miss a point!!! pole
 
CCM ndio Shetani na adui wa Inch yetu
 
Na hao ndio wengi wenye misimamo isiyoyumba kama ya wanyama wa porini!
 
japokuwa na mapungufu yote ya ccm...ila upinzani una mapungufu mengi zaidi... kwa hawa kina lipumba, mbowe, rungwe, zitto.. ni bora kura yangu niwape ccm tu
 
mkuu, wote hao wanaweza wakachagua chama tofauti na ccm, lakini kama tume ya uchaguzi ni hii hii, basi ogopa sana "wapiga kura wasiojulikana."
 
Mtu kutoka kundi la watu hawa siku ya kupiga kura anaingia kwenye chumba cha kupiga kura na kuchagua viongozi kama ifuatavyo.

1.Raisi kutoka chama kilichoshindwa

2.Mbunge kutoka chama kilichoshindwa

3.Diwani kutoka chama kilichoshindwa.

Sifa kuu za mtu huyu(zote au baadhi):
1.Ujinga(kukosa elimu)
2.Umasikini
3.Kuishi vijijini
4.Kukosa exposure
5.Ulughalugha
6.Ana umri wa miaka 60,70 au zaidi
7.Anakaribia kustaafu
8.Hamiliki smartphone(haingii mitandaoni)
9.Ni mpenzi wa kusikiliza TBC
10.Ni mpenzi wa kuangalia TBC
11.Elimu ya darasa la saba au chini ya hapo.
12.Alisoma elimu ya mkoloni
13.Mstaafu wa siku nyingi
14.Ni mnufaika wa system kwa namna moja au nyingine.

Kama unabisha fanya utafiti uone
Umeamua kuwatusi wazazi na walio sawa na wazazi wako!!
 
Nyie mnabadili gia hewani kizembe mkidhani watanzania wote hamnazo kama ninyi?!
Watanzania wengi tulichagua AFADHALI kuliko POTELEA MBALI!
 
Back
Top Bottom