Watu na tamaduni zao!

Hao wanaume nimewapenda sana, hao ndo wazee wa kazi
 
Halafu huyo mbabu mwenye kofia nyeusi SI ndo mwakilishi sijui BUNGE la Nini NA ALIKWENDA hivyohivyo katika BUNGE Hilo akiwa ameuvisha ALA mkandamizio !
 
Najiuliza swali la kizushi hapa, so hio 'Mitarimbo' yao inakuwa dede 24/7 ili ifiti humo kwenye 'Hala yake' au ikoje hii
@Mshana Jr
 
Halafu huyo mbabu mwenye kofia nyeusi SI ndo mwakilishi sijui BUNGE la Nini NA ALIKWENDA hivyohivyo katika BUNGE Hilo akiwa ameuvisha ALA mkandamizio !
Hapana umemchanganya na mtawala mmoja wa nchi ya africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…