ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,279
- 3,178
Topic zipo kibao za wanaume kuongea ww unataka mkeo awe topic.Na hii ndio dawa yake. Kumnyamazisha ni kumpa muhuni contact za mkewe atombewe kwanza kisha akili itamkaa sawa.🤣🤣🤣
Topic zipo kibao za wanaume kuongea ww unataka mkeo awe topic.Na hii ndio dawa yake. Kumnyamazisha ni kumpa muhuni contact za mkewe atombewe kwanza kisha akili itamkaa sawa.🤣🤣🤣
fala huyu jamaa af mshamba wa wanawakeTopic zipo kibao za wanaume kuongea ww unataka mkeo awe topic.
Ngoja wamfanye mkewe awe official topicfala huyu jamaa af mshamba wa wanawake
Mkuu...unataka mpaka kupangia Watu waseme Nini...kwa wakati gani ili usikwazike..Ushasema humu.sio baa..baa tupo kuongea ishu za kiume..yeye analeta mambo ya nyumban kwake na nkewe
Basi acha gubuKuoa si kama ku..... Dada angu
Mate yamenirukia,nmeyameza.Mkuu...Wivu umekukaa rohoni...Looh
Wewe endelea kukimbizana na pisi kali ..waache waliopata nusra wafurahie..
Mbona wewe huwa unahadithia pisi zako unazochakata...KILA siku humu..
.acha kijiba Cha roho..utakufa nacho. Ptuu
... Pole mkuuMate yamenirukia,nmeyameza.
Kwetu kama hujaoa, ukifa vitani tunakutupa hukohuko. kama umeoa lazima tufikishe maiti homTena wale ambao ni new wedds in town.
Huyu jamaa yetu anafanya kazi taasisi flan hivi ya serikal..mishahara yetu tunaijua chief...sasa jamaa kabla hajaoa alikuwa anaendesha gari flani, kaoa now ni kama miaka miwil kabadili gari kachkua kitu cha 28m.
Basi imekuwa kero, muda wote yeye ni kuongelea mambo yake na mkewe na kuturingishia sisi wengine..yaani mwana anaongea sanaaa..sisi tunamshangaa...halaf mwongo mwongo
Mimi ikabid nimchane kwamba sasa mwamba unaongea nini wakati vyanzo vyako vya mapato tunavijua halafu pia umeunganisha nguvu na shemeji ..usijifananishe na sisi one man army ambao kitambo unachofanya wewe now sisi tushafanya miaka mitatu nyuma..
Hakunielewa, akawa anaboa ila ndo hvyo tukamvumilia sababu tunamjua
Ila kiukweli watu mliooa mna mbwembwe, yaani mnaona sisi wengne tunakosea maisha
Uzi tayar
(Usinijudge tafadhal)
umemaliza kila kitu mkuuMwanaume huwezi kusema una akili kabla hujaoa,kwahyo nawewe tushindwa kupima uelewa wako!