Pastor Silla
Senior Member
- Sep 22, 2020
- 162
- 166
Ukifanya utafiti watu wengi umkumbuka Mungu wakiwa wamekumbwa na shida na tabu mbalimbali. Mara nyingi hawana muda kumtafuta wakiwa kwenye raha au furaha. Jambo hili mara zote uwa linanipa uzuni sana kwamba kwanini Mungu amempa "utashi " mwanadamu maana huo utashi mwanadamu anaweza utumia kinyume na yeye au kuumbatana nae.
Tuangalie Warumi 8:28 "Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu ufanya kazi pamoja na wale mpendao katika kuwapatia mema,yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.
Andiko Hilo linatupa msingi kwamba ili Mungu aachilie mema yote kwetu anataka tukaze kumpenda yeye ambao hao ndio walioitwa kwa kusudi lake.Hali hii katika nykati zote wanadamu wengi hawampendi Mungu ila wanapenda vitu vyake hii ndio mara zote inapelekea Mungu kushindwa kuachilia baraka ambazo tunadeserve kuzipata kutoka kwake.
Niliangalia uzi wa ndugu Mshana Jr juu ya laana nimeona watu wengi waki-comment kwamba wana hizo changamoto katika familia wamejaribu kwenda makanisa ya kinabii au kilokole kuombewa lakini hakuna matikeo .Kwa uelewa wangu juu ya hao wandungu ni kwasababu hawamuendei Mungu kwa kusudi la kuitaji mahusiano nae thabiti kwa sababu yeye ni Mungu.Lakini wengi wanataka shida zao zitatuliwe ikiwa kutoka kwenye vifungo au umasikini n.k.
Ndio maana nyakati za Sasa Shetani amejua jinsi wanadamu walivyo amepandikiza manabii na Mitume wa uongo wanaohubiri baraka kuanzia Januari mpka Desemba na kuwauzia watu maji,mafuta,sabuni na leso za upako na watu hao hali zao kuzidi kuwa mbaya.
WATU wa nyakati za Sasa wanatakiwa wafahamu kwamba Mungu anatakiwa apendwe kwa viwango vikubwa na wafate amri zake kwa kushika na kutenda neno lake.Yohana 14:15 inasema vyema ukinipenda utazishika amri zake.Kwa hiyo basi ili Mungu aachilie baraka kwako yakupasa kumpenda na kuliishia neno lakekwa vitendo na usimwendee Kama yeye ni mganga wa jadi.
Mpe Yesu maisha na ukoke ndio mema yatakujia kubwa kuliko lote uupate uzima wa milele.
Barikiwa.
Tuangalie Warumi 8:28 "Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu ufanya kazi pamoja na wale mpendao katika kuwapatia mema,yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.
Andiko Hilo linatupa msingi kwamba ili Mungu aachilie mema yote kwetu anataka tukaze kumpenda yeye ambao hao ndio walioitwa kwa kusudi lake.Hali hii katika nykati zote wanadamu wengi hawampendi Mungu ila wanapenda vitu vyake hii ndio mara zote inapelekea Mungu kushindwa kuachilia baraka ambazo tunadeserve kuzipata kutoka kwake.
Niliangalia uzi wa ndugu Mshana Jr juu ya laana nimeona watu wengi waki-comment kwamba wana hizo changamoto katika familia wamejaribu kwenda makanisa ya kinabii au kilokole kuombewa lakini hakuna matikeo .Kwa uelewa wangu juu ya hao wandungu ni kwasababu hawamuendei Mungu kwa kusudi la kuitaji mahusiano nae thabiti kwa sababu yeye ni Mungu.Lakini wengi wanataka shida zao zitatuliwe ikiwa kutoka kwenye vifungo au umasikini n.k.
Ndio maana nyakati za Sasa Shetani amejua jinsi wanadamu walivyo amepandikiza manabii na Mitume wa uongo wanaohubiri baraka kuanzia Januari mpka Desemba na kuwauzia watu maji,mafuta,sabuni na leso za upako na watu hao hali zao kuzidi kuwa mbaya.
WATU wa nyakati za Sasa wanatakiwa wafahamu kwamba Mungu anatakiwa apendwe kwa viwango vikubwa na wafate amri zake kwa kushika na kutenda neno lake.Yohana 14:15 inasema vyema ukinipenda utazishika amri zake.Kwa hiyo basi ili Mungu aachilie baraka kwako yakupasa kumpenda na kuliishia neno lakekwa vitendo na usimwendee Kama yeye ni mganga wa jadi.
Mpe Yesu maisha na ukoke ndio mema yatakujia kubwa kuliko lote uupate uzima wa milele.
Barikiwa.