Sio deni la hela ila aliumwa sana waliokuwa wanamuuguza wakanificha hawakuniambia , akafariki ila kipindi cha kuumwa chote alikuwa akiwasihi wanijuze ila waligoma .
Sasa alipokufa ndiyo nikapewa ujumbe , deni nililonalo kwake ni kumwambia sikuambiwa kuwa anaumwa na pia ajue namkumbuka sana tena sana ila sina namna ya kumuona .
Kama unataka hela wewe jamaa kama deni mm sikupi hela ila niko Mbeya njoo tukutane Mwalumengese gharama zote zangu tufurahie kaka .