Tetesi: Watu 700 wameuliwa so far?

The number looks too odds to be true hata kama ni nchi nzima, si tunaona clip za hali na matumizi ya nguvu askari wanayo fanya. Hapo kwa jirani wakati wa financial bill watu wa haki za binadamu wame report watu 35 hivi ndio walikufa, compare level of tension na matumizi ya nguvu kisha tuone kama the number could be realistic, ofcourse ni kweli hakuna anae jua namba sahihi hilo nakubali

Data hio wametoa chadema, japo wao awali walishawishi watu kama no reform no election ni njia ya kuzuia damu za watu.
 
Kipindi hiki kuna propaganda na misinformation nyingi sana. Na hao wanaofanya hivyo wanasababu zao. Kwahiyo unachokipata ni muhimu ukaushughulisha ubongo wako, hususani kwa ambao mko nje ya Tanzania.
 
The number looks too odds to be true hata kama ni nchi nzima,
Sasa hili nalo tulichukulie kuwa ni hoja? Just because the "number looks too odd"?
Huo mfano wako wa nchi jirani (Kenya) siyo sahihi kwa kila kitu; hata namba 35 umeokota tu sijui toka wapi; na tena hiyo unayotumia ya mwonekano ni hapo mjini kwao tu!
Kenya kila uchaguzi ni maelfu ya watu huuliwa; siyo tu hiyo ya Financial bill unayoizungumzia wewe; which cannot in anyway be used as an example for us to justify what has happened here.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…