Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Naam.. Mambo yameanza kunoga.
Ile list ya watu waliotajwa kuwa hatari zaidi kwa usalama wa nchi imeanza kuwindwa.. Mmoja wa watu hao "hatari" ambaye aliwahi kutumikia Idara ya Usalama wa Taifa hapa nchini, Bwana Evarist Chahali ameanza 'kunusa' harufu ya mtego wa kumnasa anaodhani unasukwa na "kitengo".
Bwana Chahali, ambaye ni mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii anayeishi ughaibuni kwa sasa, ameonekana kushtukia mchezo wa kumtega kwa kutumia mbinu aliyoiita chungu cha asali (honeypot)..
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Chahali amesambaza tego hilo na kusindikiza na maneno pamoja na kicheko kwa kuandika; "Honeypot? Kitengo kazini
"
My take: Inawezekana jamaa anajishtukia tu.. Kama huyo dada aliyemtext ni shabiki yake kweli atajisikiaje?!
Ile list ya watu waliotajwa kuwa hatari zaidi kwa usalama wa nchi imeanza kuwindwa.. Mmoja wa watu hao "hatari" ambaye aliwahi kutumikia Idara ya Usalama wa Taifa hapa nchini, Bwana Evarist Chahali ameanza 'kunusa' harufu ya mtego wa kumnasa anaodhani unasukwa na "kitengo".
Bwana Chahali, ambaye ni mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii anayeishi ughaibuni kwa sasa, ameonekana kushtukia mchezo wa kumtega kwa kutumia mbinu aliyoiita chungu cha asali (honeypot)..
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Chahali amesambaza tego hilo na kusindikiza na maneno pamoja na kicheko kwa kuandika; "Honeypot? Kitengo kazini
My take: Inawezekana jamaa anajishtukia tu.. Kama huyo dada aliyemtext ni shabiki yake kweli atajisikiaje?!