Watoto watakaozaliwa hapa wataitanaje?

Watoto watakaozaliwa hapa wataitanaje?

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,910
Reaction score
7,562
Wakuu

Mwanaume aliempa mimba mkewe, akafanya mapenzi na mama mkwe naye akashika ujauzito, akafanya mapenzi na shemeji yake( shem tamu) ambaye ni dada wa mkewe, naye akashika ujauzito, akafanya mapenzi tena na shemeji yake mwingine, ambaye ni Mdogo mtu ( shem nikune) ambaye ni WA mwisho kwenye familia ya mkewe, nikimanisha, mkewe ni mtoto wa pili, shem tamu wa kwanza na shem nikune WA mwisho..

Watoto watakaozaliwa hapa, wataitanaje?

Alamsik!
 
Sasa ukimaliza hyo tamthilia fatilia na nyingine inaitwa animal au docta andunje yaani hataree jamaa katia mimba mpaka mbuzi
Imam Hussain kipenzi cha waislamu alikuwa na binti wengi lakini binti Yake kipenzi alikuwa akiitwa Sakinah bint Hussain.

Kila mara Imam Hussain akirudi kutoka vitani kuulinda na kuutetea uislamu dhidi ya dhulma, ukandamizaji na uonevu cha kwanza anaulizia Sakinah na kumkimbilia na kumkumbatia.

Chini hapa ni picha ya Imam wetu kipenzi akimuaga binti Yake Sakinah mara ya mwisho kabla ya umauti wake.

Zuljanah Kwa nyuma aliyebarikiwa kuliko wanyama wote akiinamisha kichwa na kuangalia chini kwa huzuni.

Screenshot_2025-07-09-18-02-27-43_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg
 
Imam Hussain kipenzi cha waislamu alikuwa na binti wengi lakini binti Yake kipenzi alikuwa akiitwa Sakinah bint Hussain.

Kila mara Imam Hussain akirudi kutoka vitani kuulinda na kuutetea uislamu dhidi ya dhulma, ukandamizaji na uonevu cha kwanza anaulizia Sakinah na kumkimbilia na kumkumbatia.

Chini hapa ni picha ya Imam wetu kipenzi akimuaga binti Yake Sakinah mara ya mwisho kabla ya umauti wake. Zuljanah Kwa nyuma.

View attachment 3402392
Mashaallah....
Waman Arada An Zikri rabbi Faina Lahu Maishatan zwanka..
Wank shur yaumul kiaama aama

Kal rabbii rimahshartan aaama....
 
Hapo ndipo utajua mavi hayana miba, ila ukiyakanyaga lazima utachechemea....😶
 
Wakuu

Mwanaume aliempa mimba mkewe, akafanya mapenzi na mama mkwe naye akashika ujauzito, akafanya mapenzi na shemeji yake( shem tamu) ambaye ni dada wa mkewe, naye akashika ujauzito, akafanya mapenzi tena na shemeji yake mwingine, ambaye ni Mdogo mtu ( shem nikune) ambaye ni WA mwisho kwenye familia ya mkewe, nikimanisha, mkewe ni mtoto wa pili, shem tamu wa kwanza na shem nikune WA mwisho..

Watoto watakaozaliwa hapa, wataitanaje?

Alamsik!
Laana
 
Wakuu

Mwanaume aliempa mimba mkewe, akafanya mapenzi na mama mkwe naye akashika ujauzito, akafanya mapenzi na shemeji yake( shem tamu) ambaye ni dada wa mkewe, naye akashika ujauzito, akafanya mapenzi tena na shemeji yake mwingine, ambaye ni Mdogo mtu ( shem nikune) ambaye ni WA mwisho kwenye familia ya mkewe, nikimanisha, mkewe ni mtoto wa pili, shem tamu wa kwanza na shem nikune WA mwisho..

Watoto watakaozaliwa hapa, wataitanaje?

Alamsik!
Ngoja tumpigie simu nabii feki Muddy huko motoni tumuulize.
 
Vipi ana tako kubwa? Unawapataje we boya?
Anatako mweupe...
Oya ni mtoto wa kwanza wa mama mweny nyumba...
Oya unaambiwa ni single maza flan hv..

Juzi nahamia akawa ananichekea tu kwa jicho furani hivi nikabani nasmile nashangaa anasema chukua namba yangu nicheki
 
Back
Top Bottom